Naomba tuchangie hii mada
kuna umuhimu wa kuchanganya nafaka zote sita au hata tano kati ya hizi ? mf ulezi mahindi uwele mtama ngano kwa wakati mmoja wakati wa kuandaa lishe ya mtoto.
nilisikia kwenye tv kipindi fulani dr anasema uchanganyaji huu wa lishe unasababisha uji upikwe kwa...
Huu mtandao wa VODACOM NI WEZI WA KUPINDUKIA halafu sio wawazi. Mtu unatuma msg halafu haiendi wanakukata fedha. Sio kuwa inakuwa pending hapana yaani hata haiandiki sent tayari wameshakata chao. Na wala msg aieNDI ULIKOTUMA. PILI NILIKUWA NANUNUA MUDA WA HEWANI BENKI KWA MOBILE ETI WAKANIKATA...
Amani kwenu
wadau wa ukadiriaji majengo naomba mnisaidie Gharama za kujenga Nyumba yenye vyumba vitatu vya kulala (2 vya kawaida na 1 master bedroon) sitting room na dinning, jiko na toilet) nitatumia mafundi wa mtaani, tiles kwenye corridor na sittingroom na dinning tu. naomba makadirio inaweza...
katika harakati zangu za kuwa mjasiriamali nikajikusanyia ka mtaji ambako hadi sasa kamefikia milioni 4. nilikuwa najikusanyia kwa kudunduliza kamshahara na biashara za mkononi. wakati najikusanyia hiyo fedha mkakopa benki nkanunua kiwanja. sasa nikiangalia hiyo 4m haitoshi hata kujenga nyumba...
Natafuta mwanaume atakayekuwa mume baadae endapo tutaelewana na kupitia hatua zinazohusika. mume anapatikana popote na Mungu akiamua apatikane JF hakuna wa kupinga. hivyo linawezekana pia.
About me; 31 years old, Government Employee and Interprenership, education level First degree, mnene wa...
Naombeni ushauri kama ni sahihi
Nilikuwa na rafiki wangu wa kiume ambaye tuliachana zaidi ya mwaka mmoja uliopita. sasa wakati tukiwa kwenye mahusiano yeye alikuwa chuo anasoma ila alikuwa ameajiriwa na mimi nilikuwa nimeajiriwa. kwa kuwa tulikuwa na mipango mingi ya kimaisha nilikuwa...
Nimeona watu wakipost thread zao wakitafuta wachumba, waume /wake ila wanapoweka vigezo vya umri wanaambiwa mnaowatafuta wameshaoa ila sijaona wakisema unaowatafuta wameshaolewa au wanasema ulikuwa wapi muda wote huo hujaolewa au hujaoa.
Mimi binafsi sioni kama kuoa au kutoolewa mapema hao...
Mimi ni mjasiriamali na nimepata mafunzo ya kutengeneza bidhaa za liquid soap, dawa za usafi, dawa za kuoshea mikono, tiles cleaner n.k. nimepata hayo mafunzo DSM ila kwa sasa naishi arusha nisaidieni malighafi hizi zinapatikana wapi kwa arusha? naomba anayefahamu anisaidie plese nitashukuru
Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 31 nina elimu ya chuo kikuu na ninafanya kazi pia ni mjasiriamali.
sifa za mwanaume ninayemtaka awe mrefu wa wastani, mkristo, mcha Mungu, Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea awe ameajiriwa au kujiajiri. umri miaka 30-40 sifa ya ziada awe anapatikana...
Wana JF naombeni ushauri. kuna mwanaume nilikuwa nawasilana nae kwa simu baadae tukaonana siku ya kwanza akaanza kunipa sera zake nikamwambia nipe muda wa kufahamiana. lakini nilipokutana nae mara ya pili amekuwa akitaka tufanye ngono nikamkatalia na kila tukiendelea kukutana suala la kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.