Nguruvi3 Mzee Mwanakijiji Mag3
Nimependa hii sababu kwanini mpaka sasa Sanders anaendelea na campaign.
Why Hillary Clinton isn't pushing Bernie Sanders to exit race - CNNPolitics.com
Tigo ni kwaajili ya wateja wa tigopesa. Mpesa maelezo yake yapo hapo juu
Mkuu, taarifa zako zipo safe. Sidhani kama ushawahi sikia mtu analalamika kuhusu anonymity yake kuvunjwa.
Kupata kwanza mikataba kwa brand ya JF ili uweze kutuma SMS kwa local service providers ni kazi sana.
Shukran sana Mkuu.
Tunaifanyia kazi hii na muda si mrefu tutaweka hiyo njia
Unajua, unaweka kwenda kibanda cha M-Pesa ukamuambia yule msimamizi akutumie hela kwenye number hiyo, Ukampa 1,000 kama gharama yake akakutumia, ukanipa receipt number nikakuwekea premium member na wala nisijue wewe ni mtu gani.
Mkuu,
Unaweza kwenda CRDB ukadiposit pesa kwenye hiyo account...
Mkuu,
Motisha hutolewa kwa aina nyingi na si lazima pesa. Sasa kuna njia nyingi mtu ambaye unatoa reliable information unaweza tumia JF na ukapata kipato kizuri tuu. Ukishajijengea profile hapa na jina ambalo watu wataku-identified nalo. Ni rahisi uka-branch na kwenda kuandika katika magazeti...
Mkuu, Hii Njia tunaifanyia kazi na tutatoa update muda si mrefu.
Tunaifanyia Kazi Mkuu
Yes Inawezekana.
Tunafanyia kazi hii.
Yes, Inawezekana.
Hapana Mkuu, Haiwezekani kwa sasa hivi.
Nimepata Email yako Mkuu
Mkuu, Kama matangazo yangekuwa yanakidhi uendeshaji wa JF tusingefanya hii kitu. Na usisahahu kuna kukidhi uendeshaji na pia lazima kuwepo na uwezo wa kuweza kuiendeleza JF iende mbele zaidi.
Bado tunaongea na Makampuni ya simu ili mtu aweze kuwa anakatwa salio kila anapopokea ujumbe kwa wale...
Heshima zenu wakuu,
Mwaka huu tunakuja na utaratibu mpya.
Tumeona ni busara kufuta level za premium membership zibakie mbili tu. Gold Member and Tanzanite Member. Gold itakuwa itakuwa Tshs 30,000/= na Tanzanite 100,000/=. Lengo kubwa hapa ni kupata wachangiaji wengi zaidi na kuepusha...
Kwenye magazeti itaandikwa ile Question and Answer tuu za interview. Then mwisho kutakuwa na link mtu anayetaka kusoma maoni JF. Sioni hapo majina yanaingilianaje.
lara 1 & Zinduna
Kwanza tuwape hongera sana kwa idea nzuri ya aina hii. Mnajitolea mno kufanikisha hizi interview kila siku. Sisi tuna-ahidi ushirikiano asilimia 100.
Tunafikiria pia mwaka kesho, tuongee na gazeti moja la kiswahili, tupate column mfano kila jumapili katika page fulani. Tuwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.