Katika hilo kuna watu ambao wanatakiwa kuwajibika kwa maana ya kutia serikali hasara vilevile na kupoteza muda mwingi kwa jambo moja,jaman kwa nin tusiige kwa mataifa yaliyo endelea kuwajibika na kuwajibishana katika uongozi ndiyo msingi wa maendeleo!
Kweli mimi mwenyewe na suport kwa hali iliyopo,hali ni ngumu ya maisha watz wenyewe wanahitaji hilo, hata hofu ya mungu watu hawana, Utu wenyewe hakuna,Tumwombe mungu asaidie taifa letu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.