Hii Sgr ya Tanzania sijaona ikifanyiwa promotion na wazungu Kwenye cnn , bbc nk kama walivyofanya kwenye ngarangara ya jirani .
Nilichojifunza wazungu hawapendi nchi za dunia ya 3 au zisizo na damu ya Caucasians zikiwapita au kufikia maendeleo Yao.
S. Korea , Japan , China , Taiwan , uturuki...
Poleni sana wafiwa dada bado mbichi sana , hii chopa ilitunguliwa na majambazi ya baringo au kuna faulo au ni kupuuzia ubora wa vifaa vya usafiri vya jeshi ?
Mashabiki wa makolo wanaishi kwa matumaini na tetesi
Mara pacome Mara aziz ki Mara mzize Mara job Mara gamondi anaondoka Mara Pacome hachezi mwaka mmoja na nusu kwa majeraha 😁😁😁
Rage alikuwa sahihi .
Nina karibu miezi 2 sijaona mgao wa umeme ukiachilia ile fault ya pasaka ya pili ya masaa kadhaa, waziri mwenye dhamana na watendaji wake wanafanya kazi yao ipasavyo.
Musonda Ana mchango , kasi yake ya kuanzisha mashambulizi , kuzuia , ni mchezaji anaejituma uwanjani , Hata asipofunga anaweza kutoa assist , angalia assist aliyotoa kwa Pacome goli la kusawazisha dhidi ya Al ahly .
Mtu wa kuondoka ni mwamnyeto , Hata goli la Fred mwamnyeto haku cover nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.