kumekuwa na kucheleweshwa kwa stahiki mbalimbali za watumishi wa umma tokea awamu hii hiingie madarakani kutokana na sababu mbalimbali , moja wapo wa haki zinazocheleweshwa ni hii ya uhamisho kwa watumishi wa umma kutoka kituo kimoja kwenda kituo kingine. Naomba kupitia uzi huu wadau mbalimbali...
Habari za mchana wana JF natafuta mteja wa kununua ufuta, nina ufuta zaidi ya kilo 2,000
Ufuta unapatikana shambani kwangu nje kidogo ya Mkuranga, Serious Buyer naomba anicheki private kwa mawasiliano zaidi. Karibuni sana
Habari zenu wana JF napenda kupata maelezo kuhusu faida na hasara kwa mkulima ambae atatumia mbolea ya maji aina ya SuperGro shambani kwake. Nimejaribu kuomba details za hiyo mbolea kwa wauzaji wameishia kuniambia kuwa haipatikani kwenye maduka ya kawaida ya kilimo na mifugo,mtu akitaka lazima...
Habari za usiku wana JF naomba msaada kwa mtu yeyote ambae anaweza kujua ni kampuni gani inayo uza farmer's kit kwa bei nafuu. Natanguliza shukrani zangu za dhati
Wadau kama mmepata fursa ya kuona magorofa ya hostel za udsm pale main campus mie mwwnyewe napata wasiwasi maana yame choka ile mbaya na idadi ya wanaokaa humo ni wengi kuliko kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.