Kila mtu anaakili zake. Ukiamua kujirahisisha watakula kichwa. Wazee wa Good morning aka Qnet watawala kweli. Kuweni makin Sana. Ila ukiona una hela za kuchezea we wapelekee tuu. Mi Qnet waliniitaga siku moja to nlipohisi dalili za uchachu uchachu nikala Kona. Masai hakamatiki kirahisi...
Yuko ktk hatari Sana..wakati utu wa MTU sio kitu tena mbele ya madaraka. Mwishowe kiongozi ataongoza makaburi badala ya watu. Mungu tusaidie. R.I.P Aquiline
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.