Kakangu, mimi nakunasihi usiuvunje moyo wa mapenzi ya mtoto kwako,umemfanyia mengi sana na Mola atakujazi, bila shaka ni mtoto mwema na hawezi kusahau yote uliyomfanyia,kwahivyo kesi ndogo ndogo kama hiyo ya kutopigiwa pasi nguo zako zisifikie kumsimamishia mema unayomtendea huyo mtoto.Kumbuka...
Utajiri wa haraka haraka ndio unaotafutwa hapoo,bila kupima kwamba nchi nyingi duniani zimeweka hukumu ya kifo kwa tendo la kuingiza madawa ya kulevya nchini mwao.
Samahani nimesahau kukutumia link ya wataalam,
ingia site hii huenda ukapatiwa ushauri mzuri au hata matibabu,
Urinary Tract Infections | UTI | Symptoms, Causes Diagnosis and Treatment from WebMD
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.