:A S shade:M/kiti Taifa Mh.FREEMAN MBOWE ametoa onyo kali kwa uongozi wa wilaya ya Mbeya mjini kwa tabia ya kuwafukuza wanachama bila sababu za msingi alhali chama kinajitahidi kupata wanachama wengi..aliyasema hayo jana alipokuwa akiongea na Vijana wa BAVICHA na CHASO hapa mbeya mjini jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.