Sote tunafahamu kuwa homa ya siasa za mwaka kesho zimeanza kuumiza fikra, mipango na hata njozi ya wale wote wanaotegemea kuingia katika kinyang'anyiro hicho. Ubunge na urais unakausha mate za vyama na wagombea watarajiwa. Jimbo la Ngorongoro ni jimbo lililokaliwa na chama tawala tangu ianzishwe...
Jamani viongozi wetu mliochaguliwa na wanachi kuwaongoza na mkaapa kuwaoongoza kwa haki fanyeni. Vinginevyo kila kundi litakuwa na wawakilishi kila ngazi kuwatetea, jambo ambalo sio la lazima ikiwa mtafanya wajibu wenu. Kwa njia nchi hii itapata baba na kila raia atatambua hivyo
Mpelekee taarifa Olesendeka kuwa waarabu bado wanahangaika kutafuta eneo huko Loliondo, na kama anavyofahamu wanamtegemea sana. Aende huko Uarabuni na Loliondo akamlishe transaction
Wiki hii mwanzoni Wizara ya Ardhi iltuma Timu ya Wataalamu kupima vijiji vipya na vya zamani ambazo hazikupimwa vya Wilaya ya Ngorongoro na kutoa vyeti vya ardhi ya Kijiji. Inasemekena kuwa vijiji vingi vilianzishwa miaka ya 1970 vilipimwa miaka ya 1990 na kupatiwa hati za ardhi za vijiji. Timu...
Inasemekana kiwango kinachoweza kutolewa na mamlaka kusaidia michango mbalimbali haizidi 2m, sasa kupewa milioni 10 tena ikiwa imebainika kuwa hakuna fedha kwa wakti huo, kuna msukumo wa mkubwa
Kama Kagasheki anao ushahidi wa mafisadi wanaotetewa na Msigwa tena kwa Wizara yake anachelea nini kuwakamata. Au anaendeleza desturi ya viongozi wa Nchi hii kusema wana majina ya wahalifu na kuwaacha???
Kama unafikiri uchaguzi na idadi ya wachaguliwa ina-determine stonghold ya chama, basi kwa ccm ni kila mahali. Lakini tukitizama sababu za kuchaguliwa kwa ccm na chadema ni tofauti. Wengi wanachaguwa ccm sio kwa sababu sera zina mvuto au watu wana imani nayo, bali kwa sababu za uoga, vitisho...
Mwarabu anawinda makundi ya wanyama wanaotoka mbuga ya serengeti. Hakuna tena wanyama loliondo. Hii inashangaza kidogo kwa sababu hifadhi ya taifa ya serengeti ambayo ni urithi wa dunia na maajabu ya dunia vile vile. Wamasai walikuwa wanaondolewa karibu na hifadhi ili wasiharibu. Sasa serikali...
Natumaini Serikali inatambua hatari ya kumkumbatia mtu kama huyu. Kagasheki alimwahaidi atapata eneo, yeye alidai alitumwa na rais, sendeka na telele 'walimkubalia' kumsaidia na wamasai wakisimama kidete kukataa nini itatokea?
Utafiti unaonyesha wanyama waliowindwa na mwarabau wote walikimbilia hifadhini serengeti na kwamba hakuna tena. Hata akirudi itamazimu kuwinda katika mipaka ya hifadhi ya serengeti. Imekuwa kama mabaki ya mashimo mwadui
Inawezekana ni kweli maana maandalizi yanafanyika kuanzia Juni na uwindaji unaanza Julai. Ninachopenda kufahamu ni sababu inayowafanya wasiwinde mwaka au wachelewe kuwinda
Tofauti na vipindi viliyopita, mwarabu wa Loliondo angekuwa amekwisha anza operations za uwindaji kwa kuleta madege makubwa, na prukushani nyingine nyingi. Cha kushangaza hadi sasa hakuna dalili ya kufika Loliondo. Ninachouliza ili mijuze wanaofahamu, je amezidiwa nguvu na wamasai na kwamba...
Sio rahisi serikali kuachana na ardhi yenu wamasai. Waziri wa maliasili hakubaliani na tamko la waziri mkuu na atafanya kila namna achukue hiyo ardhi apewe mwarabu
Wadau, naombeni mnisaidie namna ya kuwasiliana na viongozi wa wizara hii. Nimejaribu kutafuta barua pepe, simu za ofisini na za viongozi wengine bila mafanikio. Vile vile wizara haina tovuti yenye kutoa taarifa za wizara hii ambayo kwa kweli ni muhimu katika maisha yetu kama Watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.