Hii ni baada ya mbunge huyo wa viti maalum Jana usiku kuhonga nguo aina ya madira ya chadema kwa kila mjumbe Wa BAWACHA kata zote za jimbo la Shinyanga mjini na Leo asubuhi kuwaleta kwa magari kutoka makwao mpaka eneo ulipofanyika uchaguzi wa ndani wa mgombea ubunge na baada uchaguzi...
Hii ni baada ya uongozi wa wilaya kuzuiya viongozi wote wa kata kukutana na watiania ya udiwani, wala kufanya mikutano ya hadhara ili watia nia wajitambulishe kwa wananchi.
Pamoja na CHADEMA shy mjini kushinda viti vingi vya mitaa, kwa mwendo huu tusipokua makini tutapoteza hata viti vya...
chadema ndio chama makini kinachofanya kazi nzuri ya uwakilishi bungeni tuliyo watuma cc wananchi, hatujawatuma kusema ndiooooooooooooo kwa maslahi ya ccm. hapana kwa maslahi ya wananchi hongera sana mhemiwa FREEMAN AIKAELI MBOWE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.