Salam wana JF
JF imekuwa mkombozi wa wengi kwa ushauri wenye hadhi ya nyota 5.Sina shaka hata kwa hili langu mtanivusha kwa mawazo yenu!
Tangu nianze kuishi Dar yapata miaka 7 nimeishi katika nyumba za kupanga na mtindo huu nimeishi sehemu tofautitofauti na sehemu zote hizo nilishiriki katika...
1.Kumpongeza rais kwa hotuba nzuri
2.Kuunga mkono safari za nje za rais
3.kumpongeza rais wa ccm kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu.
4.Kulaani filamu inayoielezea Tanzania kama nchi isiyonufaika na rasilimali ilizonazo.
Wakuu,kama kuna mdau mwingine anayejua maudhui mengine...
Baadhi ya shughuli za ukaguzi wa abiria hapa Julius Nyerere I'ntl Airport zinafanyika gizani na zingine zimesimama kwa zaidi ya nusu saa sasa.Tanesco achieni switch ya hapa!
Wakuu habari za Jumapili.
Leo asubuhi hapa stand ya daladala Kimanga watu wasiojulikana wametumia mwanya wa mvua kunyesha,wakawakaba walinzi,wakawachoma sindano za usingizi,wakafanya utaratibu wa kuzifikia pesa kwa kuvunja,kisha wakatokomea.Ni kiasi gani,tumsikilizie Kova atatupa estimate,ila...
Ni ukweli unaouma kuwa Africa hakuna demokrasia inayoweza kupatikana kupitia sanduku la kura.Ukiondoa nchi takribani 2 tu(siyo Tanzania),kwingine kura lazima zichakachuliwe!Namna nzuri ya kuwatoa watawala madarakani
ni mtutu wa bunduki tu,kama walivyofanya waasi huko Central Africa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.