Kijana rejea point yangu.Hapa sio personality.
Wote uliowataja hawajajihusisha na large scale Corruption.
Tunasema Tanganyika ijayo tuiclean kutoka na watu kama hawa.
Jamii iko tayari kuwahakumu mashoga./wasagaji (whatever you call them) kwa matendo yao.
Binafsi i dont care mambo yao! Ni life style yao.
Jamii yetu inawahusudu wale wanaoiibia serikali.Billions ziko Uswisi & Uarabuni hata Sauzi.
Vitanda vya hopitali,shule ngapi zingejengwa na pesa hizi za...
Huyu mtu haoni aibu kabisa dhamira yake ya kuwa mgombea wa uraisi (CCM)
Kwa sisi old school,tunakumbuka 1995 Nyerere hakumkopesha huyu jamaa na kumwambia "Ni tajiri kuliko umri wake".
La Nyerere watu wangeweza kumsamehe.
Come RICHMOND scandal ,that was bad and bad .Lakini kuna watu na akili...
Wana wa Israel,lazima wakae chonjo ni udhalimu wa Kiarabu.Itikadi kadi yao tunaiona bongo.
Utoaji meno bila ganzi ,kutoboa jicho la mtu etc.
Hizi ndizo misingi ya sharia
Tunazungumza facts!
Kenya hawezi kwenda kwa sababu atakuwa anakubaliana na uongozi wa sasa,ambao wako indicted.
Unakumbuka zaidi ya watu 1000 walikufa kwenye vurugu za uchaguzi wa mwanzo?
Tuambie serikali unayoishabiki imeua wananchi wangapi Mtwara?
Ujambazi upi?Kila kabila lina ujambazi.
Fisadi ni jambazi pia(wenye hella Uswisi,Dentist wa Tembo,ma crooks wa EPA ,Meremeta & Richmond wote ni majambazi pia
Kama kabila langu kubwa lingekuwa na mantiki ya Wachaga ,nchi hii ingekomboleka zamani.
Nilisoma O-level mkoani Kilimanjaro.Nilistuka kuona majumba makubwa migombani,kwa mara ya kwanza niliona TV Moshi.
Mchaga popote alipo iwe Musoma ,Mtwara atajenga nyumba nzuri tuu.
Tusiwaonee wivu,wao na...
1.Atakuwa anahalilisha human rights abuses zinazoendelea hapa nchini,ambapo vyombo vya usalama vya serikali vina husika kabisa.
Mfano: Utesaji wa Absalom Kibanda
Utesaji wa Dr Ulimboka
Mauaji ya mwandishi wa habari Mwangosi
Ukandamizani wa vyama vya...
Mavumbi nafikiri una akili timamu.
Mahakama na Bunge Tz ni wastage of time.
Tungekuwa Ulaya au USA akina EL,RA ,Vijisenti na wengineo wangekuwa sio wabunge tena,na tena wangekuwa gerezani sasa.
Grow up man
Hivi visiwa vya Ukara na Ukerewe vimesahauliwa sana,labda serikali ya Tanganyika itaviweka viwe part ya sehemu ya Tanganyika tena.
Akina Msekwa hawakufanya any good katika maendeleo .I tell it is very beautiful kama tungevitangaza duniani tungekuwa na watalii wengi sana.Ni mara chache kisiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.