Haijatulia wala nini. Mirungi ni ILLEGAL, kula wakati wa mfungo siyo illegal. Usenge ni illegal wakati wa mfungo au la, lakini kila ------ akimwagiwa acid tindikali tungesikia tu maana ni wengi sana. Ukienda utawaona.
Madaktari watuambie chances of survival from gunshot wounds to a chest experienced by a 60 years old male (nimekadiria) akiwa mafichoni. Kama kweli watu walishuhudia kilichotokea basi tumia google kujua, kama siyo hili kuna watu wanajaribu kutengeneza mchongo ili tuamini miujiza ya kiimani imetokea.
Nadhani anamaanisha hiyo ni isolated incidence haihusiani na polisi kwa sababu polisi wameshatoa maelezo kama walivyotoa katika matukio ya iringa, arusha na kwengineko.
Kuhusu hii ishu ya kuchukua mke wa mtu naona watu wanaifanya ishu sana (hata kama ni kweli). Kama hii ni kigezo cha kutokuwa kiongozi bora mbona viongozi wengi sana wapo madarakani na wanafanya uchafu wa ajabu zaidi ya huu? Naona watanzania tumezoea sana kufanywa wapumbavu. Yaani mnaona bora...
Kama ndoa ni ya kidini mmeshatafuta suluhisho la kidini? Aombewe sana huyo mtu labda huko kusini kuna mahali alipita (muulize vizuri). Siyo mnawahi tu "aende tanga wiki mbili..." ......"enyi wenye imani haba...."
sababu ni nyingi na hazilingani. Ila moja wapo ni akili ya MFUMO DUME ambayo wanaume wanayo. Fikiria umejaa mfumo dume akilini halafu huna mpunga kama wife. We fikiria halafu unipe jibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.