Ndugu xamahani kwa kukukosoa,,,,kumbuka utajiri upo popote c duniani wala mbinguni na utajiri wa mbinguni hutegemea sana ulichokipanda duniani enzi za uhai wako,kumbuka thamani ya damu yako isije itokee siku wainywe kama supu ya pweza, wakati aliyekupa pumzi hakutoz chochote maskin wa mungu!!!!!
goood,,,,,,gooooooooodddd,,,,!!!!!!!!!!!! that is vry vry perfect EXCELLENT!!!!!!!!""!!!!!!!!!!!!!!!!!!!"""",,,,,,,,,,,,huwezi amini i tried much as i can to shoo that am into love with her,,,,,,bt sikuvuna chochote!!!!!!! thanx thanx again 4improving me!!!!!!!
samahan, muungwana naweza msaidia kwa upeo wangu mdogo kwamba maana ya neno "kauzu" ni mtu ambaye yuko more siriasi kwa kila amuz atakalo amua, haijalishi yuko na nan, anaongea na nani, yani ye ni kanyaga twende! ! ! ! ! clea?
nilikupenda mpaka nikaandika jina lako kwenye mitihan yangu yote ya form
4 ndo maana nimepata zero lisilo na masikio . , . . haya zamu ya
mwingine . . . . .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.