Nyumba inapangishwa, ipo Mpakani mwa mbezi juu na Goba,
3.5 km from Mbezi beach tanki bovu.
2 bedrooms + 1 master bedrooms, public toilet, kitchen,dinning room , sitting room, na kibaraza..
water bill included on rent, (kuna kisima na maji ya bomba)
asking price 550,000/= tsh
kwa infomation...
Swali kwa wadada
Unakuta unaenda sehemu kukutana na dada, anakugandisha sio chini ya nusu saa, ilihali wakati unatoka mlipanga kabisa muda wa kukutana, na akakubali, na wakati unatoka mpaka kufika unampa update zote na bado ukifika anakuweka kidogo,
Hii imekaaje?
Kuna nini hapa?
Sent from...
Hello all,
Kichwa cha habari kinahusika,
Anatafutwa msichana wa kufanya hizo Kazi .
Eneo ; Ilala karume , Dar
Muda ; saa 2 asubuh hadi 12 jion
Umri ; kuanzia 18 - 23
Mshahara na mengineyo, pls PM
Shukran
Nipo dar,
Bei ni 350,000...
Jina linabadilika baada ya wiki 2 ,
Line hazijawah kutumika ni mpya,
Mwenye kuhitaj ani PM alaf tutaongea kama ana maswal zaid, aache na namba yake ya simu nitampigia,
Hello all, line wakala tigopesa ipo, inauzwa 600,000....nipo dar, PM if interested,.....jina litabadilika baada ya mwez, uwe na all suported documents.....
Natafuta kijana wa kazi tajwa hapo juu,
Awe na uzoefu na hizo kazi...
Sehemu: Karume shaurimoyo,( Dar)
PM if interested au kama unamjua mtu anaetafuta kazi kama hizo,
Salary tutaongea... Sio vizur kuweka hapa.
With the power of God bestowed
on me,I pray that you marry the last
person you had sex with this recently. Do
I get an "Amen" or "God forbid" from you?
Hi all, nauza line ya uwakala tigopesa, serious buyer contact me, ni PM ,
Ipo chini ya super agent wa Dar, jina litabadilika baada ya wiki 2 na kuwa jina lako,...
Jamaa mmoja asubuh alipanda DCM akitokea mbagala kwenda Mjin,gari likawa limejaa abiria wengi sana, ikafika muda wa kutoa nauli, akajisearch akakuta anayo elfu kumi, akashangaa,ila akaitoa na alivyorudishiwa chenji akairudisha kwenye mfuko,sasa baada ya kushuka akasema ngoja aangalie chenji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.