Mishahara ya waalimu na madaktari ndio mikubwa zaidi serekalini, Ni kwenye Tsh260,000 hivi. Kiasi ulichoeleza sio cha watumishi wa serekali(ST), Ni cha watumishi wa uma(SU)
Lakini tumesahau kuwa Mtanzania mwenyae umri ya miaka 18 ni mtu mzima, sio tena mtoto wa mtu, ni mtoto wa dunia... Lowasa anaweza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge huyo mtoto wake kwa tiketi ya ccm! Atakayeshindwa na kotoridhika anaweza pia kuhamia CHADEMA!
Hebu angalia 'waliofinance' kampeni za ccm kwa vipindi tofauti vya uchaguzi mkuu:
1995- Robert Mugabe (Kafilisika)
2000- EPA and Rostam Aziz
2005- EPA (mtoji emeumbuka "akafa") RA, EL and NK(Bado wanadunda)
2010- nani wa kupigiwa magoti, na atabembelezwaje?
Kutoa mimba=kupunguza matumizi ya kondom=kuenea kwa vvu.
Yaelekea watu wanaogopa mimba zaidi ya vvu, Kwani kama watu wangezingatia ngono salama, mimba zisingekuwepo na mjadala usingekuwepo pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.