kwa upande wangu ,naona maswala mingine sio lazima ambiwe waziri membe kama ya 'central heating system' kwasababu balozi yupo na naamini anaweza kulishughulikia tatizo hilo.hata kama utamtumia ujumbe membe ataupuuza tu kwasababu mambo madogo kama hayo balozi anaweza kabisa kutatua tatizo hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.