Kikubwa ni ujumbe kufika kwa njia yeyote. Muhimu ni kwamba hiyo huduma INAPATIKANA WAKATI WOTE. Iwe mvua,jua, mchana au usiku mkwanja unapatikana. Mambo mengine baadaye
Ni kweli watu wengi wana tabia hii. Hata mimi imenitokea mara nyingi. Utakuta mtu mlikuwa hamusiliane lakini gafla anaanza kukuzoea mara ni na shida nisaidie. Ukisha msaidia do bac tena hata salaam hatuna. Tena utakuta mtu yupo mbali sana kuvuka mikoa. Je huko anakoishi hamna watu wa kuwasaidia?
Nimejaribu kutuma Sh 15,000.00 nimeambiwa salio lako halitoshi kumtumia ZAINA MRISHO ambaye ndiyo mmliki wa hiyo simu. Tafadhali kama yumo humu ndani naomba anikopeshe nikipata mkopo nitamrudishia pamoja na riba
Imetokea ya aina yake huko kanda ya ziwa. Dada mmoja kaomba lifti kwa mkaka mmoja mtanashati mwenye prado kwamba anaomba lift kwenda mjini. Huyo mkaka alipofika mahali anapokwenda dukani kwake, akamwambia yule mdada anaishia hapo hivyo ashuke. Yule mdada akang'aka kwamba kwani hapo ndiyo kwenye...
Nakumbuka Ndada iliwahi kutua NDEGE kutoka Ujerumani (Ambulance) kumchukua Shemeji yake Dr. Mwambe. Shemeji huyo alikuwa mjerumani Mwl. THOMAS. Nani anakumbuka zaidi?
Mkuu mombasa raha imeua dada yetu magu j4 baada ya kugonga gari ndogo. Jamani haya mabasi ya shinyanga muwe mnajali maisha ya watu wengine. Au mnataka nchi nzima yawekwe mabamps kama huko kwenu shinyanga? Hivyo itakuwa haina maana ya kuwa na barabara nzuri..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.