Ahaaa, hapo picha ya kwanza ilipigwa kipindi hajabadirishwa namba, ya pili ndo imepigwa ikiwa imebadilishwa namba hizi mpya za serikali kwa pkpk zinazooanza na MC
Kama kichwa cha habari hapo juu pikipiki inaitwa king lion 150, nimetumia mwaka mmoja na mi ni mwalimu, kwa hiyo utumiaji ulikuwa mzuri tofauti na waendesha bodaboda, mi nilikuwa naendea kazini na kurudi tu, sasa nahama mkoa huu wa Dar es Salaam naenda Mwanza ndo maana naiuza.....
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.