Dogo mmoja aliibiwa yebo yebo zake msikitini akawa analia kweli Shekhe akamwambia uslie ww muachie Mungu. Dogo akajibu hata Mungu azimtoshi maana ni ndogo sana.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tofaut ya Ukopaji Mzungu na Mswahili.
Mzungu: Hi bro, I need $100, wil pay u back on Monday.
Mswahil: Kaka vp, shwari,vp mishe, mnatunyima nn,shavu dodo full kipupwe, sie tupo bwn, shida tu, afu misiba mingi tu,wife nae kajifungua ghafla, sasa kuna cheque naisubiri haijatoka hadi leo, wanasema...
Duniani kuna watu wa ajabu yani huwezi amini leo kanisan nimekaa na jamaa 1 anavuta sigara kanisani bila woga! nilitetemeka nusura niangushe konyagi yangu!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mtanzania na mkenya waliingia
supermarket moja jjni
Dsm,walipotoka Mkenya akawa
anajigamba kwamba wakenya ni
wajanja kuliko wa Tz huku
akimwonyesha mTz chokolet tatu
alizoiba supermarket,mbongo
akamshawishi waludi tena ili na yy
akamwonyeshe ustadi wake
walipofika ndani Mtz akamwambia
mhudumu...
Hii imetokea huko Manzese Jijini Dar es salaam.
dogo mmoja umri 12, awaacha watu midomo wazi ni baada ya kuingia bar na kuagiza bia aina ya "kilimanjaro" kama vyupa 11.
Kimbembe ni pale waiter anapo kuja na kuhitaji malipo.
Mara dogo kazama mfukoni na kuchomoa bango la Kilimanjaro ambalo...
MUNGU akulinde LEO na KESHO,Upendwe kama NYERERE,uishi maisha marefu kama bi kidude,usipoteze umaarufu kama Mandela,uwe jasiri kama Z.kabwe, upate safari nyingi kama Kikwete, usiwe na hila kama TANESCO,usihukumiwe kama sadam, usipakaziwe kama Babu sea, usife kama The great kanumba, uuze kama cmu...
Cheka unenepe; Mlevi alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo, Chizi mwingne naye akaenda hukohuko, alipofika dampo akakuta mlevi kalala ------ wazi, chizi akaanza kuyashikashika huku akisema, kweli duniani kuna watu matajiri, haya ------ si mazima kabisa wao wameyatupa!
Sent from my BlackBerry...
Vichaa walikuwa wanahamishwa hosptl 1 had nyingine kwa usafir wa ndege mazungumzo kat ya ruban na kichaa 1
KICHAA :naomba niendeshe
RUBAN: huwez we c unaumwa
KICHAA: nimepona
RUBAN: nakupa kaz kawa nyamazishe wenzako ukiweza nitaamin umepona nitakuruhusu uendeshe,
JAMAA AKAENDA MUDA KIDOGO...
Binti aliyetoweka kijjni kwao arejea afta 10yrz;
Baba; We mtoto ulipotelea wap, unajua ulimtesa sana mama yako?
Bint: Nlikua nafanya kaz ya umalaya marekan.
Dngi; Mshenz mkubwa we, umetutia aibu wazaz wako,toka na usikanyage tena hapa?
Bint: Sawa baba ila kabla sijaondoka, nimewanunulia nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.