Huyu mzee ningekua na uwezo angekula risasi mbili za kichwa.
Au ningekua na sniper ningemtugulia mbali tu.
Alafu sielewi hawa wanaohudhuria mikutano yake inamaana hawajui whats goin on??
Ila huyu professor uchwara nimeona habari jana alisema kikao cha leo ni batili kwa vile katibu mkuu yupo nchi za nje. Haya leo katibu mkuu kaonekana kwanye kikao ubatili upi mwingine anauongelea. Huyu mzee ana dhalilika sana am sorry to his family.
Wewe utakua bavicha tu. Mtu mwenye akili timamu hawezi kumkubali huyu profesor. Aling'atuka kila mtu anajua ni kitu gani kina mrudisha? Aling'atuka wakati chama kina muhitaji sana anarudi sasa ili iweje.
hili jamaa alafu miaka yote ni yeye mwenyekiti hamna mtu mwingine kweli cuf mwenye uwezo? Hakuna mawazo mapya mambo yatakua yale yale, ndio maana watu wengi hawapigii kura upinzani kwenye uchaguzi sababu ya upinzani wenyewe kukosa demokrasia ya kubadilisha badilisha viongozi wao. Wajifunze...
Huyu mzee amevurugwa, atakua amechanganyikiwa tu, sidhani kama anakumbuka alichokifanya alidhoofisha sana wapinzani alivojitoa kabla ya uchaguzi. Huyu ametumwa aje kuvuruga UKAWA. Surely hii ni PhD uchwara.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.