Search results

  1. Tango73

    Inonga amechomesha tukafungwa goli na Al Ahly

    kiuhalisia simba wote ndo wenye makosa. waliweka angalizo sana katika mechi ya yanga na jinsi Yanga itakavyofungwa mabao mengi na mamelodi sun down. Leo washaanza kumlaumu Inonga na kesho utasikia majungu kwa MO.
  2. Tango73

    TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024

    TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024. TFF inabeba lawama zote za mpira mbovu waoneshao taifa stars huko Abidjan Ivory cost. Huyu kocha anashindwa hata kukuza uwezo wa midfilders ambao hushuka na kulinda goli na kusonga mbele kusaka goli kama wafanyavyo Yanga na Simba...
  3. Tango73

    The Guardian: Israel inapoteza vita dhidi ya Hamas lakini Netanyahu na serikali yake kamwe hawataki kukubali

    OIC na south africa kila siku wanalalamika kuhusu humanitarian crisis!OIC kila siku inaomba vita visitishwe eti watoto wanakufa sana kuliko baba na mama zao! hivi sasa ukiiona Gaza ni sawa na mburahati ya mwaka 1967 imegeuka sehemu ya kuokota maiti Abedel Nasir raisi wa misri katika vita ya...
  4. Tango73

    The Guardian: Israel inapoteza vita dhidi ya Hamas lakini Netanyahu na serikali yake kamwe hawataki kukubali

    kuvuta bangi ni ulevi haramu wa kujidanganya!wewe jidanganye tuu kuwa ihefu ni bora kupita timu zote kisa kaifunga yanga kwa kuuropu!
  5. Tango73

    Kwanini wakristo wote duniani wasiwe watiifu na kuacha kusherehekea krismas kwa kuomboleza Gaza kama wanavyofanya Bethelehem

    WEWE MLETA MADA HII SIO RAIA WA TANZANIA. Hamas Kaua watanzania wawili halafu bado unaishabikia miarabu miuaji ya kipalestina1 AU SABABU WALE WALIOUWAWA NI WAKRISTO NDO MAANA HAIKUUMI KAMA IKUUMAVYO MIPALESTINA IKINYONGWA!
  6. Tango73

    Kwanini wakristo wote duniani wasiwe watiifu na kuacha kusherehekea krismas kwa kuomboleza Gaza kama wanavyofanya Bethelehem

    baraza la usalama la umoja wa mataifa lina member 80% wanachama wa OIC,nchi zote za kiarabu na nchi ya sauth africa. maajabu yake nim kwamba nchi zote hizo hazikulaani kitendo cha HAMAS kuuwa waisraeli 1400! wala kusisitiza mateka wote waachiwe mara moja ili vita iishe. nchi hizo zinataka Israel...
  7. Tango73

    Kwanini wakristo wote duniani wasiwe watiifu na kuacha kusherehekea krismas kwa kuomboleza Gaza kama wanavyofanya Bethelehem

    ina maana chatu akiingia katika zizi la kuku huwezi kumuua ikiwa siku hiyo ni xmass? au huwezi kupiga kelelele za mwizi kama kibaka kakuibia bahasha ya mshalala siku ya xmass? kwa nini hao waarabu wa bethlehemu wasilaani Hamas na kuiamuru iachie mateka wote iliyowashililia?
  8. Tango73

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    israel inaamini mshahala wa dhambi ni mauti na Kamas au hamas inaamini mshahala wa dhambi ni soda ya milinda! hapo dhambi inalindwa na hamasi wakati Israel inataka kuiepuka. Vita haiishi tangia goliath apigwe na David
  9. Tango73

    Aliyepewa jina la mfu anayetembea, Yahya Sinwar anaongoza mjadala wa kusimamisha vita mwenyewe akiwa Gaza

    wana akili za mamba: mamba hata umpatie kuku za kukaanga milion mia saba lakini ujue bado anakuvizia mtoni ukitaka kuvuka!
  10. Tango73

    Afrika Kusini yatoa warranty ya kukamatwa kwa Benjamin Netanyahu kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu kwa Wapalestina wa Gaza

    toka mweusi achukue nchi hapo azania, uchumi wao umetelemka mpaka Lagos kawapita na kenya wnapishana kwa senti kumi na tano tuu. haya majitu ya ANC ni pur communist minded people. mauaji ya hamas kwao waliweka picnic ila revenge ya israel wanaweka matanga. Nchi za africa zote zenye weusi...
  11. Tango73

    FaizaFoxy unakubaliana thamani ya Myahudi 1 ni Sawa na Wapalestina 3?

    wewe unamuuliza Faiza swali la uhodari wa israel! huyu angepewa kesi ya kumhukumun yesu miaka 2000 ilopita wewe unadhania angeaamua vipi? maana niliwahi kumuuliza waisrael asili yao wapi? Faiza hakunipa jibu mpaka leo!
  12. Tango73

    Kitendo cha MOSAD kushindwa kutambua mahali walipo mateka kinaifanya dunia ione uongo wa Mazayuni

    vema sana mkuu. hawa wenzetu wana slogan ya 1947: ukinipiga umenionea ila ukiniachia ni mbabe wako. unajua hata mwaka 1976 israel ilipofauru kuokoa mateka wake pale entebe hawa wenzetu ule ulikuwa msiba mzito saana inasemekana colonel Qadafi alivunja TV na kuchoma moto sebure kwa uchungu!
  13. Tango73

    Kitendo cha MOSAD kushindwa kutambua mahali walipo mateka kinaifanya dunia ione uongo wa Mazayuni

    wewe jifariji tuu. mwaka 1967 usiusahau. mataifa yote ya kiislamu yaliishambulia Israel na msaada wa MOSSAD ndio ulioifanya Israel ishinde vita kwa siku sita. kamasi au hamas ni kunguni tuu achafuaye vyumba na kutafutiwa diazon. je unaweza msifia kunguni ni kiboko cha mwenye nyumba ikiwa mwenye...
  14. Tango73

    Israel wakamata wakuu wa hospitali ya Shifa, watolee maelezo kuhusu handaki lililogunduliwa humo

    mashabiki wa hamasi au kamasi wanadai hamasi kashibnda kumbe wanafanana na mashabiki wa Ihefu wanaosema Ihefu kashinda yanga basi itatuwakilisha vema klabu bingwa africa!!!!!!!!
  15. Tango73

    Israel wakamata wakuu wa hospitali ya Shifa, watolee maelezo kuhusu handaki lililogunduliwa humo

    MuIsrael kashasema nia wanayo na sababu wanayo ya kukomesha Hamas au kamasi kuwepo duniani.wamuulize Abdullahman Rantisi, Mohamedi Khamshali, George habash,Wadie Hadad na Yasser Arafat wapo wapi hivi leo. wote wamevaa suti isiyo na malinda(sanda)
  16. Tango73

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    gaza unanya nini! mbona hujaenda jesrusalem? mbona hujaenda hija sehemu amabyo mtume anaaminika alipaa mbinguni Al aqsa? si unadai kamasi kashinda usiishie hapo wewe nenda huru jiji la daudi jerusalem kashangilie huko maana kamasi kachukua kiti jerusalem. unaogopa nini? kama unaogopa basi...
  17. Tango73

    Mshindi wa vita vya mashariki ya kati ni yule mwenye kumiliki jiji la Daudi au Jerusalem

    Madai ya Hamas, Hisbollah na Iran ni kumnyang'anya Muisrael jiji lake zuri la Jerusalem. Sasa mnaopinga kama Israel siyo mshindi na mbabe wa mashariki ya kati basi mmpeni Hamasi jiji la Daudi au Jerusalem. Haya yote yanayojili migogoro ya mashariki ya kati ni kushindwa kumchukulia kinguvu jiji...
  18. Tango73

    Vita ijayo mashariki ya kati

    haya yote ni tisa kumi ni nani kakalia jiji la Jerusalem? mbona hamjamtoa mjukuu wa Rebeca ili kamasi akaishi pale. kafukuzwa mpalestina tangia 1948 na kutekwa kila kiwanja chake leo warudisheni Jerusalem basi kama Hisbollah na kamasi ni wababe. semeni semeni mapaka mpasuke ila ukweli ni...
  19. Tango73

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na HAMAS

    Dua la kuku halimpati mwewe! hivi nani kakalia jiji la daudi au jerusalem. basi huyo ni mshindi asiyeshindika!
  20. Tango73

    Kitendo cha MOSAD kushindwa kutambua mahali walipo mateka kinaifanya dunia ione uongo wa Mazayuni

    SWALI NANI KAKALIA JERUSALEM. usijifariji kilio chako ni msikiti wa al aqsa na jiji la Jerusalem kukaliwaa na wajukuu wa rebecca.
Back
Top Bottom