NCHI YA AHADI
Habari zenu wana JF,
Naomba kama kuna mtu anafahamu popote palipo na hospital ya private inayohitaji wauguzi naomba anijuze kupitia uzi huu,. Maana ukiendlea kusubili hizi ajira zao unaweza ukaajiliwa ukiwa umebakiza miaka mitano kustaafu, halafu wenyewe wanakwambia ujiajili...
Nani yuko tayar kujiunga na TEAM SIBET TENA(a.k.a TEAM NIMEKOMA),.
Kubet ni full hasara kama ukiwa sio mwenye bahati ya kamari kama mimi.
ZIFUATAZO NI HASARA ZA KUBET
1. Unadumaa akili unashindwa kuwaza vitu vya maana vyenye
kuleta pesa ya uhakika isiyo na mawazo...
Jamani muhindi huyuuuuuuu....., sijui anatumia dawa za kwao maana wahindi watata kweli kwenye mindumba, haiwezekani kila timu nnayobet inapigwa 2, nishamchangia laki 3 sasa na nimeshaambuliaga elfu 30 tu, saivi naona nisamehe hizo zilizobakia, maana hela inasepa, sinenepi, nashindwa kuwaza vya...
Kwanin unakuta m2 hanapesa wala sio handsome boy, lakin anapendwa sana na watoto wa kike hata bila kuwatongoza na akitongoza hakataliwi??, au sometime huwa ni bahat 2??.
Nina mpenz wangu(msichana) ambae tupo ktk uhusiano kwa mwaka mmoja sasa, lakin tatizo la huyo mpenzi wangu ni UONGO, mara ya kwanza alinidanganya wako mapacha, nikakubali ila nilipobaini hawako mapacha akaniambia ni kweli alinidanganya.
Mara ya pili aliniambia yeye ni bikra japo 2lisex nae juzi...
Kila mtanzania anafatilia siasa ya kenya na unakuta anamjua kila mgombea wa kenya, swali ni je? wakenya nao huwa wanafatilia siasa zetu na kuwajua viongoz wetu???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.