The big issue here is selfishness kwa sababu viongozi wakuu wa nchi wanajiona tayari wana kila kitu(essentials) kwa mfano kiongozi mtoto wake akiwa anasoma uk au canada halafu anaweza kubadilisha magari leo prado kesho benz au bmw I think he can think nothing about the nation.Ni vigumu sana kwa...
Mimi naona mila zetu za kiafrika hasa tanzania bado tunahitaji muamko katika kujua haki ya msingi ya mtu ya kuishi,kutoa roho ya mtu eti kaiba mbuzi is not a logic,isitoshe kama mdau mwenzangu alivyosema inawezekana tu mtu mmoja kakurupuka na kusema mwiziiii..kitendo kinachopelekea kushambuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.