yaani hamkukosea. ndio mwenyewe haswa.pamoja na kuchelewa kuweka taarifa hizi kwenye blog lakini bado taarifa ziwekwe ili kuwafungua wa akina mama macho kwenye hicho chama chao. alitapeli na kupata mtaji mzuri tu wa kufanya biashara alizonazo wakati huo farmacy ikilegalega.
sawa ila asitoe taarifa akienda. akifika mfano kituo cha polisi (hasa matrafiki) wakaguliwe na wakuu wao-wataona mabulungutu ya hongo yanavyofichwa kwenye soksi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.