Naona redio one mmegusia hii mada asubuhi ya leo nilikuwa nasikiliza naye,nikamwambia wanaume wenye matatizo kama haya tupo wengi Tanzania bahati yangu kunavitu nilipindisha kidogo hivyo hajaelewa vizuri .. kulingana na michango na maoni ya wengi, nimeamua kuendelea nae, ila yupo kwenye...
amerudia hii ni mara ya 3 mtoto, why kuendelea kuishi na mtu ambaye anaona sina hadhi ya kuwa baba mtoto wake ili hali anahitaji ni muhudumie mwanae kwa kila kitu
alimkimbia alipo kuwa na ujauzito akamrudia mtoto alivyokuwa na mwaka akaishi naye miezi minne akamkimbia tena na yeye alishaoa na ana watoto wa nne hivyo single mother wangu hataki kabisa kumwachia mtoto anasema kuliko amwachie mtoto ni heri aondoke
ndiyo nitahudumia, mshikaji wa kwanza huwa akipiga simu anadai mtoto, ila hataki kutuma ela za matumizi ,na zaidi anatishia ataipata damu yake kwa gharama zozote.
Nimeishi na huyu mwanamke kwa miaka miwili na nimezaa naye mtoto mmoja mwenye miezi 10 sasa.
Kilichonipelekea mpaka kutaka kuachana naye ni yule mtoto wake wa kwanza amekaribia kuanza shule. Nashindwa kuingia gharama za kumsomesha wakati aliyezaa nae anadunda tu mtaani.
Pili huyu mtoto kila...
o sahau nilipogundua demu wangu anauhusiano wa kimapenzi na kijana mmoja wa jirani baada pia ya kugundua alipewa smartphone bure na jamaa na akawa anapigwa picha na huyo jama (zakawaida na hadi leo ni nazo) na nilivyo kuwa na muuliza alinijibu jeuri sana, nilivumilia sana bila kufanya lolote ila...
Unakuta kidemu kifupiiiiiiiii halafu jeusiiii tiii ana mwanyaaaaa mkubwa au mapengooo... Lakini pia anayo elimu ya chuo kikuu digrii moja hivi.. Levo zake huyu hawamtakii hata wakiwa nae ni urafiki tu wakawaida vijana walevo za chini kabisa wanakuwa wanamwogopa au wanaomfata anawakataa he is not...
Stelingii anaitwa idris alba ni mmarekani ila alivyo vaa uhusika uwezi zania ni mmarekani amecheza pia ile muvu ya mandela ''the long walk to freedom''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.