hivi kweli jeshi letu la polisi limeshindwa kuweka vijana wake maeneo muhimu ya jiji badala ya kuendelea kuichosha hii helikopta yake ambayo hata asiye na uelewa mkubwa wa vyombo vya anga anajua imeshazeeka? Si afadhali waepushe disaster kwa kununua mafuta kwa ajili ya pikipiki na gari zao...
anatakiwa atujibu,huo u-Marekani wake feki apeleke hukohuko!! sisi tunaipenda nchi yetu na tumechoka na ufisadi,hata kama ulifanyika miaka ya 90! dogo anajiona yupo juu sana, sijui ni ushamba wa Kisukuma!! (samahani watani zangu wa Shinyanga na Mwanza)
a very good precedent...bravo my Tanzanians from Tarime!!! sasa pandora box ndo linafunguka, migodi mingine wajandae!! upuuuzi mtupu,Nyerere alikataa U-Mangungo,hakukosea!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.