Je unafahamu kwa mwaka wamachinga wangapi wanazalishwa...labda unambie kwamba waki aandaa huo mpango uzuie kabisa wamachinga kuzalishia kitu ambacho hakiwezekani...ukiisha mwaka mmoja ukihamisha hao..watakuja wengine kureplace hao waliondoka...huo mpango hautafanikiwa..Cha msingi watu wafanye...
Ndani ya mwaka mmoja.atakua ameshajenga Banda la tofali na kuliezeka kabisa...usitegemee atahama huyo..dawa yake ni kuwabomolea ili wengine wenye mawazo ya kufungua mabanda kama Yao waachane na hayo mawazo
Kama hapandishi homa endelea na hiyo nasal ndop na kupunguza hayo manukato...na pia kama Kuna Nguo, mashuka amerithi achana nayo coz wakati mwingine huwa zimekaa muda mrefu sana kiasi ambacho ukija mvalisha mtoto mchanga mpya zinakua zinamletea shida.
Tatizo likiendelea nenda kwa specialist wa...
Umri wake ni kiasi gani. If umri unaruhusu Jaribu dawa inaitwa Pediatric hiyo ndo imemuokoa sana mwanangu. Ni bit expensive but majibu yake ni ya haraka.
Pia epuka kutumia sabuni zenye manukato kufulia Nguo za mtoto au za mama, na kuhakikisha mnafanya usafi mara kwa mara kuondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.