Search results

  1. daniel sr. lighton

    ngozi kubabuka,je!?joto laweza sababisha?

    habari yenu. ni matumaini yangu wote tu wazima.ningependa kuuliza je mtu kubabuka ngozi sehemu kama shingoni kuna uwezekano joto likawa ni sababu kubwa endapo mtu huyo amebadili mazingira kwa mara ya kwanza toka sehemu zenye baridi na kwenda kwenye joto?
  2. daniel sr. lighton

    matibabu kwa njia ya kompyuta

    duh!kweli globaliziton.kwamba unaweka mkono tu kwa dakika mbili halafu unafumbuliwa matatizo ya ndani,,
  3. daniel sr. lighton

    wife!!?husband!!?

    habari yenu wanajamii... ni matumaini yangu wote ni wazima...jambo langu ni moja,,,,tumekua tunaona post mbalimbali za kutafuta wachumba na wanadada wakitafuta waume......sasa kila mtu kma anataka mke au mume kwanini mnaohitaji msiangaliane badala ya kuanza kutafuta upya?!!!!
  4. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    pia tuwe makini kwa kuna matapeli pia wanatumia mafuta ya kula kama mafuta ya ubuyu wanawauzia watu na baadae lawama huja kwa wajasiliamali wote
  5. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    ni suala jema kama waweza kufanya..na pia ni vema kuwa makini maana hata hayo mafuta kuna wachakachuzi wanaweka mafuta ya kawaida ya kula badala ya mafuta halisi ya ubuyu,,i think its better kuwa na mtu unayeamin bidhaa zake
  6. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    ni kweli jambo hilo lipo tena hualibu soko la wajasiliamali wengine kwani jamii huureflect kwamba most of them wako namna hiyo...ni vema kupata kujua backgroud ya namna mjasiliamali anavyotengeneza ili kuwa na uhakika wa kuchukua bidhaa zake
  7. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    suala nilo lina depend na mjasiliamali mwenyewe,,,wapo wanaofanya hivyo bila kuconsider ubora na usafi wa bidhaa zao...sidhani kama kila mtu anacharacter hizo,ni kwA BAADHI TU
  8. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    ushuhuda wa watu upo lakin sidhani kama itakua jambo la busara kuandika namba za watu hapa lakin kama wahitaji kujua mengi zaid tuwasiliane..
  9. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    yap kuna vipimo vyake maalum...tumia kijiko kimoja kutwa mara mbili...kila baada ya kunywa hakikisha unakunywa na maji ya vuguvugu
  10. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    hakuna gazeti lililochapisha na wala tbs wala tfda hazijathibitisha..lakini hii ni kama bidhaa ya tiba mbadala,,herbal
  11. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    ni kuwjulisha tu wapendwa lakin kama unahitaji kujua zaidi ndio maana kukawa na mawasiliano
  12. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    ni kweli ni kazi sana kuyameza na inashauriwa kunywa maji yya vuguvugu immediately ukishakunywa....umetumia dose yake kama inavotakiwa,,na je!vipi kuhusu vyakula unavyotumia vinasupport kupungua uzito?
  13. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    hapana mkuu,,hayatumiki katika mboga
  14. daniel sr. lighton

    mafuta ya ubuyu!!!!

    habari yenu wapendwa,, ni matumaini yangu mko salama kabisa poleni kwa wale tunaosumbuliwa na maradhi,,, nadhani asili MAFUTA YA UBUYU Ni mafuta ya asali yalifanyiwa utafiti wa kina wa kisayansi na wanasayansi mbalimbali,ni mafuta ya asili yasiyochanganywa na kitu chochote kile.Mafuta...
  15. daniel sr. lighton

    nifanye nini kupunguza mwili na kilo????

    nashukuru sana ndugu,nadhani jambo hili litakua la msaada kwangu..nitakufahamisha matokeo immediately nikimaliza kutumia diet hii
  16. daniel sr. lighton

    nifanye nini kupunguza mwili na kilo????

    habar wapendwa,,nadhani wote tuu wazima,,ninaomba ushauri wenu nifanye njia gani zisizo na madhara kupunguza mwili na uzito?hasa kupunguza mwili,,naombeni msaaa wenu katika hili,,
  17. daniel sr. lighton

    Husband

    mugnu akusaidie
  18. daniel sr. lighton

    one night stand!!!!!

    hongera boss kwa kumpa dongo huyo bwana mdogo,,,I wish angekua anajua ni nini anafanya,,kumbe ni yankee tu
  19. daniel sr. lighton

    one night stand!!!!!

    mmmh tuwe tunaangalia na mada za kujadili....majina mengine yakwetu lakin twaaibishana tu....okay its non of our concern lakin mmh Nampa heko jamaaa aliekupa dongo,,,kumbe wewe ni kijana mdogo kama mimi then wafanya ujinga
  20. daniel sr. lighton

    what should you do to treat someone whom you love but she/he doesnt...

    its just something i wish to seek some advice from you people,,what should someone do when he/she loves but he/she is not loved?it might be something very simple but hard to deal with that kind of person,,,need your replies people.................KUULIZA SI UJINGA
Back
Top Bottom