habari yenu.
ni matumaini yangu wote tu wazima.ningependa kuuliza je mtu kubabuka ngozi sehemu kama shingoni kuna uwezekano joto likawa ni sababu kubwa endapo mtu huyo amebadili mazingira kwa mara ya kwanza toka sehemu zenye baridi na kwenda kwenye joto?
habari yenu wanajamii...
ni matumaini yangu wote ni wazima...jambo langu ni moja,,,,tumekua tunaona post mbalimbali za kutafuta wachumba na wanadada wakitafuta waume......sasa kila mtu kma anataka mke au mume kwanini mnaohitaji msiangaliane badala ya kuanza kutafuta upya?!!!!
ni suala jema kama waweza kufanya..na pia ni vema kuwa makini maana hata hayo mafuta kuna wachakachuzi wanaweka mafuta ya kawaida ya kula badala ya mafuta halisi ya ubuyu,,i think its better kuwa na mtu unayeamin bidhaa zake
ni kweli jambo hilo lipo tena hualibu soko la wajasiliamali wengine kwani jamii huureflect kwamba most of them wako namna hiyo...ni vema kupata kujua backgroud ya namna mjasiliamali anavyotengeneza ili kuwa na uhakika wa kuchukua bidhaa zake
suala nilo lina depend na mjasiliamali mwenyewe,,,wapo wanaofanya hivyo bila kuconsider ubora na usafi wa bidhaa zao...sidhani kama kila mtu anacharacter hizo,ni kwA BAADHI TU
ni kweli ni kazi sana kuyameza na inashauriwa kunywa maji yya vuguvugu immediately ukishakunywa....umetumia dose yake kama inavotakiwa,,na je!vipi kuhusu vyakula unavyotumia vinasupport kupungua uzito?
habari yenu wapendwa,,
ni matumaini yangu mko salama kabisa poleni kwa wale tunaosumbuliwa na maradhi,,,
nadhani asili MAFUTA YA UBUYU
Ni mafuta ya asali yalifanyiwa utafiti wa kina wa kisayansi na wanasayansi mbalimbali,ni mafuta ya asili yasiyochanganywa na kitu chochote kile.Mafuta...
habar wapendwa,,nadhani wote tuu wazima,,ninaomba ushauri wenu nifanye njia gani zisizo na madhara kupunguza mwili na uzito?hasa kupunguza mwili,,naombeni msaaa wenu katika hili,,
mmmh tuwe tunaangalia na mada za kujadili....majina mengine yakwetu lakin twaaibishana tu....okay its non of our concern lakin mmh Nampa heko jamaaa aliekupa dongo,,,kumbe wewe ni kijana mdogo kama mimi then wafanya ujinga
its just something i wish to seek some advice from you people,,what should someone do when he/she loves but he/she is not loved?it might be something very simple but hard to deal with that kind of person,,,need your replies people.................KUULIZA SI UJINGA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.