Kwa hali ilivyo nchi kama USA.. UK.. Italy hata kama mtu akifiwa na wazazi wake akae tu huko maana anaweza kuja kuzika akaambukiza watu 100 ukawa msiba mkubwa kwa nchi
Mama wa mwenzetu KakaKiiza leo asubuhi ametwaliwa Katika Hospital ya Muhimbili; Msiba uko Nyumba Kwake; anatarajia kumpumzisha mama yake Mpendwa Bukoba; tumkumbuke katika maombi na sala watakaoweza kufika kuwapa pole familia tunatarajia kwenda Jmosi mchana tuwasiliane
Ahsante
Ben Mugashe
(Mdogo...
Eneo lililopo enzi zile lilihitwa UKUTA WA POSTA eneo lote la TCRA, School of Law na upande wa Aghakhan karibu na Petrol station yote ilikuwa mali ya Posta na Simu na miaka ya 2000 huko
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.