Kuna watu jamani wamezidi.Especially hizi nchi za nje tunazoishi. Utakuta mtu anamsema mwenziwe kisa anafanya kazi ya vizee.kwani si anafanya yeye, wewe imekuhusu nini. Ati mie hata nipewe bure kazi ile siifanyi. Ukitizama kazi yake kuzaa na kupikia bwana. Simu nyingi kusemana tunatakiwa...
Ushauri wenu wazeeplease na vijana kwa ujumla
Eti kwa nini wazee wengi wa miaka ya sasa inapotokea rizki kwa binti yaokuposwa wanakataa. Ukitizama binti ashafikia age ya kuolewa. Sababu kubwa inatolewa anasoma. Kwani hawezikusoma akiwa kwa mumewe mtu age inafikia au kukaribia 27...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.