Mh. Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete amelihutubia taifa kwa njia ya tv kama ilivyo kawaida yake kila inapofika mwisho wa mwezi, maada ya mwezi huu ilelemea zaidi sakata la gesi asila ya Msimbati Mtwara, ameyaeleza mengi kama vile Kinyelezi haiko Bagamoyo kwao lakini ameniacha hoi alipodanganya kuwa...
Wadau, Mh. Waziri Mkuu Pinda akiwa amefuatana na waziri wa mambo ya ndani Mh. Mchimbi amekutana na Shura ya maimamu katika jitihada za kutafuta suluhu na wananchi wa Mtwara.
Kikao kilianza mida ya saa 11.15 jioni hivi na kumalizika mida ya saa 4:30 usiku katika ukumbi wa VETA Mtwara. Hili...
TAMKO LA SHURA YA MAIMAMU MKOA MTWARA KUHUSU SAKATA LA GESI ASILIA ILIYOPO MSIMBATI MKOANI MTWARA, TAREHE 18/01/2013.
Yaliyomo:
Utangulizi
Tatizo la Gesi Mtwara
Majibu ya Serikali kwa madai ya WanaMtwara na Athari zake
Ukweli kuhusu Tatizo la Gesi Mtwara
Maoni na Msimamo wa Shura ya Maimam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.