pole sana ndugu yangu hii ni herpes naweza sema hivyo kwa haraka haraka, kama umewahifanya mapenzi bila kondom au kumgusa mtu mwenye ugonjwa huo then ukajishika wewe bila kunawa lakini kama ipo kwenye nyeti hiyo ni kutokana na gono ndio ukapata, Dawa yake ni maombezi tu yaani kwajina la YESU...
well, zingatia afya kwanza yakwako na mwezaka je hamna magonjwa ya kuambukizana kama ukimwi, herpes na kadharika kama hamna magonjwa na usafi upo wa hali ya juu nyonya kokote kule
kama vipi niandikie nikujulishe vitu vya msingi kuzingatia kula raha ndugu yangu
jamani msaada wenu, kama unataka kuni-tusi au hutoi msaada naomba upite tu. nahitaji msaada jamani wiki moja iliyopita nilirudi home nikiwa matingasi house-girl alipofungua mlango alikuwa na nguo laini iliyosababisha nione kila kitu nilipomshika mkono hakubisha nika-mchapa nao fasta...
ndugu kuna ugonjwa wa herbes hasa marekani na ulaya, ni virus. niugonjwa kama ukimwi hauna tiba wala dawa.
pole sana cha msingi kuwa msafi na kamwone daktari si dhani kama madaktari wa afrika wanajua ugonjwa huu
jaribu ku-google
herpes virus
vizuri sana kwa kutangaza biashara yako toa uthibitisho kwamba hazina madhara, mbona hakuna tawi marekani na ulaya na huko wanawake wanamatatizo hayo kwa wingi. na kuna wanasayansi waliobobea ambao mwisho wa siku watatueleza ukweli wa dawa hizo, mbona hatuelezwi kama kuna presikription ya Dr...
ndugu yangu naomba nikushauli kama ifuatavyo:-
1). mwanaume
ukifanya kitendo hicho milija ya mboo huingiza chembe chembe za mavi kwenye kibofu cha mkojo, na madhara yake ni UTI na kuziba njia hiyo= tiba mwone Doctor
2) herbes ni aina ya virus utavipata ukiingia huko kumavi = tiba...
sasa komrade umeoa kikristo halafu unaleta hapa matatizo yako ya tamaa peleka huko huko uliko olea
i mean KWA KRISTO NDIO DAWA; HAPA NI KAMA KWA MGANGA WA KIENYEJI HATIBU PEPO ILA ANAKUPA PEPO KUBWA KUTULIZA LILE DOGO KUMBUKA KUBWA NALO LITACHARUKA SIKU MOJA
inawezekana jamaa katoka gezaulole jana hiyo kitu inasaidia sana kwani ukiangalia iyo mistari wakati wa kunjikuli unaweza kufika mwanza kutokea Dar kwa kutambaa
wana jamii, usikurupuke kuponda, nahitaji msaada kwa niaba. mlengwa jicho lake ni kubwa kimtindo kutokana na ugojwa (njia ya haja kubwa) nini kifanyike ili kupunguza huo ukubwa
hiyo ni tunu na huongeza hamu ya kutombana, mumewako katoka kileji nini? ni inbox kama vipi napenda san hiyo kitu walah nitakuonyesha namna ya kutukuza hiyo kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.