Jana nimesikia mwanancji kuingiza fedha za kigeni nchini ruksa!
Bora tupunguze vipindi vya kufanya uchaguzi iwe kila baada ya miaka miwili ili mateso yasidumu kwa muda mrefu.
Nakumbuka nikiwa shule Tanga mitaa ya Galanosi kuna meneja mmoja wa RRM-/Rural Road Maintenance alikuwa akimzukia mmama moja hivi ambaya hata mimi nilikuwa namkubali ila mshiko ndio sina.
Basi siku hiyo jamaa karudishwa na gari la kazini akajitosa dukani kwa huyo mmama na mimi nikaenda pale...
Kama mpaka hapo hujagundua tatizo liko wapi basi wewe jitafakari tena. Kwanini Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete hawakujilimbikizia mali za umma makwao? Kama Nyerere angetaka kufanya hivyo asingeshindwa lakini alijua bado sehemu nyingi za nchi yetu zina uhitaji muhimu kama maji safi, huduma za...
Siku zote tumasema ili tuwe na mfumo bora wa uongozi ni vyema tukawa na katiba mpya ili hata akija tokea kiongozi machepele katiba hiyo itambana na kushtakiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.