Wabongo kwa misiba ni hatarii! Fursa kuiba hela, kula, kunywa, kusherehekea, umbeya nk nk...
Hatuko busy na maisha, tunatumia muda wetu hovyo hovyo tu...
Wache tuzidi kuwa maskini...
Hata wasemaje, raia tunayopitia twajuwa Magu kuwashinda wote hawa!
Masafari, kujisifu na kumsifia Mwamvua kucha!
Hawana mapenzi na raia wala nchi, wako pale kutafuna tu hela ya mlalahoi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.