Kila nchu na tabu zake vo! Nkikuelezea shida za kwangu utashindwa kunchachulia vo! Nke vangu tangu arudi kwao takriban wiki mbili na masiku mpaka sasa hivi .....ningekueleza ela kisa nkirefu nno vo!
Mie nko pweke takriban wiki mbili vo! Ningekuhadisia kisa changu na nke vangu lakini kirefu nno vo. Kama uko tyari na umetahiriwa chakufanza ni kujitosa kiwanjani mie na ww vo!
Dah! Bahati yangu mie nke vangu hana cmu, hajui hata kutumia cmu na wala sikubali hata cku moya kumkabidhizi cmu. Nishavisikia vituko na vioja vya cmu. Sitakubali kamwe nke wangu amiliki cmu vo!
Kusaidiana ni vizuri. Kama mie nafanya kazi mon- fri ifikapo weekendi(sat & sun) naanka saa tisa usiku navaa kinyasa changu na nachukua nyavu naelekea Pwani kuvua samaki mpaka saa 6 nchana vo! Nae nke vangu kila asubuhi huvaa gauni laki na kanga zake mbili bila kusahau kandambili zake aelekea...
Kama mie ningennunulia kanga mpya nimpekee kama zavadi vo! Kanga inasema hivi: hukushiba kwa tonge, utashimba kwa kulamba... Tena aivae saa hio hio vo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.