Search results

  1. PISTO LERO

    Lwakatare: Sina tatizo na Rais Magufuli, mimi ni nyani mzee

    Kuna kitu inaonekana wana chadema wengi hatujakielewa kutoka kwenye kauli aliyoitoa lwakatare na Joshua nassary kule Arusha nakauli zao zimepelekea wana chadema wengi kuwamlaumu na kumpiga vijembe haswa pasi na kujua au kuwaza kwanini amefanya hivyo. Nilazima tujufunze mbinu za kuishi na hasimu...
  2. PISTO LERO

    Wananchi wanaposhindwa kuitetea demokrasia, nini madhara yake?

    HAYO NI MAWAZO YAKO KWANI KUNAMAHALI NIMETAJA CHAMA AU ,NCHI,
  3. PISTO LERO

    Wananchi wanaposhindwa kuitetea demokrasia, nini madhara yake?

    KWENYE JIBU LAKO BADO SIJAPATA JIBU LA SWALI LANGU MAANA UMENIJIBU KITU KINGINE KABISA.
  4. PISTO LERO

    Wananchi wanaposhindwa kuitetea demokrasia, nini madhara yake?

    Naomba ufafanuzi Ni nini madhara ya demokrasia kubakwa huku wananchi wakiangalia bila kufanya jambo lolote kutetea hakiyao? Inatuma ujumbe gani kwa mataifa wahisani pale demokrasia inapobakwa na wananchi kushindwa kuitetea?
  5. PISTO LERO

    Unahitaji nini kianze na kwanini kati ya Katiba mpya au Tume huru ya uchunguzi?

    UNAHITAJI NINI KIANZE NA KWANINI? KATIBA MPYA AU TUME HURU YA UCHAGUZI
  6. PISTO LERO

    Tunakaribia kuaga mwaka 2015 ni kitugani hutakisahau katika siasa za mwaka huu?

    Tunakaribia kuufunga mwaka 2015,ni mengi yametokea ya kufuraisha na kuhuzunisha pia,wewe kama mtanzania ni lipi utalikumbuka sana katika mwaka huu.
  7. PISTO LERO

    Mabere Nyaucho Marando katupwa wapi?

    Wana ukawa yuko wapi mwanasheria Mabere Nyaucho Marandu,mara ya mwisho alikuwa mgonjwa na alikuwa amelazwa. Ni muda sasa habari zake hazijasikika. Kulikoni?
  8. PISTO LERO

    Rais Magufuli na PM Majaliwa Wameamua kuwa Wapinzani wa CCM na Kikwete

    Kikwete na CCM watamkumbuka sana Lowassa safari hii. Usiniache ni mbaya sana, najaribu kufikiri hapo kikwete alipo nini kinaendelea kichwani kwake.
  9. PISTO LERO

    CHADEMA ife ili chama kingine kiibuke au kijirekebishe?

    Ni wakati wa kujiuliza je? Tutaendeleza utamaduni ule ule,wa vyama vya upinzani kung'ara na baadae kupotea? Au tunajirekebisha na kujenga upinzani mmoja ulio thabiti ? Kama ndivyo huu ndiyo wakati mwafaka wa kuikemea na kuirekebisha chadema,ikiambatana na kuionya isishupaze shingo maana...
  10. PISTO LERO

    Robert Mugabe: Raila Odinga akikanyaga Zimbabwe nitamkamata na kumhasi

    Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amemshambulia kwa maneno mwanasiasa mkongwe wa Kenya ambaye pia ni kiongozi wa chama cha CORDS huku akimpiga marufuku kukanyaga ardhi ya nchi hiyo. Akizungumza huko Marondela katika hafla iliyowahusisha wanajeshi walioshiriki katika vita mbalimbali, Mugabe...
  11. PISTO LERO

    TANZIA Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro

    Machozi yananitoka.....harakati za ukombozi Tanzania ni safari ndefu... Alikuwa Mwenyekiti Mkoa Wa geita Inasemekana alipigwa na mapanga na nyundo na Vijana Wa Green Gad
  12. PISTO LERO

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Pamoja na kutofautiana kwa baadhi ya mambo bado tuna kuhitaji kujenga chadema imara yenye mafanikio zaidi. RUDI NYUMBANI BABA.
  13. PISTO LERO

    Majina ya Wabunge Viti Maalum hadharani: CCM-64, CHADEMA-36, CUF-10

    Haswa kwa vyama vya upinzani inakuwaje jimbo lina mbunge wa kuchaguliwa tayari alafu bado linaongezewa mbunge wa viti maalum? Kwanini nafasi hizo zisiwe kwa majimbo ambayo hayana upinzani? Niko tayari kukosolewa
  14. PISTO LERO

    Nusrat Hanje: Viongozi wa CHADEMA hamjamtendea haki huyu dada, amedhurumiwa na hii si sawa

    Pole sana KAMANDA Nusrat Hanje Wewe ni mpambanaji na daima kwangu wewe ni mshindi,nafahamu harakati zako toka ukiwa UDOM ulipambana sana hata baada ya kuhitimu chuo hukuacha mapambano ulipigania usawa wa vijana na akina mama. Wakati mwingine hizi harakati zilipelekea kuhitilafiana na wazazi...
  15. PISTO LERO

    Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

    Kama matokeo ya uchaguzi ya zanzibar yamefutwa na zec je?matokeo ya Tanzania bara yana uhalali gani kisheria na kikatiba? kwasababu Raisi wa muungano anachaguliwa pia na wazanzibar tusaidiane mawazo tafadhali.
  16. PISTO LERO

    Elections 2015 Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) yafuta Matokeo yote ya Uchaguzi Mkuu

    Kama matokeo ya uchaguzi ya zanzibar yamefutwa na zec je? matokeo ya Tanzania bara yana uhalali gani kisheria na kikatiba? kwasababu Raisi wa muungano anachaguliwa pia na wazanzibar tusaidiane mawazo tafadhali.
  17. PISTO LERO

    Ni lazima serikali ijibu kashfa hii ya kuanguka kwa chopa

    NI LAZIMA SERIKALI IJIBU KASHFA HII YA KUANGUKA KWA CHOPA NA KUPOTEZA MAISHA YA WAPENDWA WETU. Hakuna taarifa rasmi iliyotolewa kuelezea chanzo cha ajali iliyochukua maisha ya Filikunjombe na wenzake, lakini Mwananchi iliongea na mtaalamu wa mambo ya ajali za anga kutaka kujua sababu za ajali...
  18. PISTO LERO

    Mtoto wa Kombani kuwania ubunge

    Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ulanga, kimemchagua mtoto wa kwanza wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Utumishi), Celina Kombani, Godluck Mtinga kuwania ubunge katika Jimbo la Ulanga Mashariki. Katibu wa CCM wa wilaya hiyo, Mathias Mbogo alisema Mtinga (pichani) aliibuka kidedea...
  19. PISTO LERO

    Tutafakari pamoja kuhusu hili la kufoji mikutano ya kampeni za CCM

    Nashindwa kuelewa kama chama kina hamisha watu kutoka eneo moja kwenda eneo jingine ili kuonyesha uma wa watanzania na kimataifa kuwa wamejaza watu kwenye mikutano hivyo wanakubalika. Hivyo? Hata wakiiba kura itakuwa ni vigumu kuwaelezea uma wa kimataifa kuwa chama hiki hakikubaliki kwasababu...
Back
Top Bottom