Hi jf members, I thanks God to bear me a hand on ma studies. I can't believe that I passed all ma test and now I got my associate degree in criminal justice. May his name be praised.
:o:o:o:o I can't wait to start focussing on my bachelor's one:o:o:o
Love y'all
Poleni sana ndugu zangu watanzania kwa kuzidi kupoteza wasanii mahiri na wenye vipaji. Lakini kazi ya mungu haina makosa yeye ndie hutoa na kutwaa natunaimani atazidi kuwazidishia na mwaka huu japokua mmeuanza kwa majonzi ya kumpoteza sajuki lakini ninaimani mtaumaliza kwa furaha.
Jina la bwana...
Poleni sana ndugu zangu watanzania kwa kuzidi kupoteza wasanii mahiri na wenye vipaji. Lakini kazi ya mungu haina makosa yeye ndie hutoa na kutwaa natunaimani atazidi kuwazidishia na mwaka huu japokua mmeuanza kwa majonzi ya kumpoteza sajuki lakini ninaimani mtaumaliza kwa furaha.
Jina la bwana...
Ndugu zangu wapendwa wa jf nawatakia heri ya mwaka mpya 2013. Mwaka huu uwe wa upendo jamani tupendane tuungane ili tusogeze hili gurudumu la maisha kwa amani. Nawatakia wa tanzania wote na east african community kwa ujumla heri ya mwaka mpya na mungu awe nanyi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.