Habari wana jamvi,
Kuna binti wa kilokole nilimpenda sana tukaishi katika mapenzi mwaka mmoja na nusu baada ya hapo akanigeuka akakata mawasiliano nilipomuuliza tatizo ni nini akajibu yuko busy na mambo ya ki- Mungu.
Baadae akaniambia nimpe mda amuulize Mungu kama kweli mimi mtu sahihi kwake...
kwel kabsa
kuna msichana nilimpenda kwa machoz yangu yote. nilimthamin na kumpa nafas ya umalkia wa dunia yangu ya mapenz lakin alichonifanya ilikuwa majuto maana alitumia nafas hyo kuninyanyasa na kunitenda alivyojifikir nililia sana na kudharauliwa na mbaya zaidi alifanya hayo katika kipind...
salaam
wazazi wetu wanapenda sana vijana tuoe na wadada waolewe lakin mahali imekuwa kikwazo maana imebadilika kutoka zawadi mpaka biashara.
uchumi wenyewe shida alafu watoto wenu ndo tunaenda kuanza maisha.
fikilien upya jaman
Ungekuwa karbu ningekununulia soda.
Thanx very much. You are a great thinker.
Please katika mkutano hakikishen utaratibu wa kuapishwa wajumbe wa ukawa na upigaji kura ya waz unarekodiwa na kuambatanishwa wakati wa utumaji hizo kura.
VIONGOZ WA UKAWA CHUKUEN HATUA HARAKA.
kama mawazo yetu tuliyompatia warioba mchana kweupe na yeye bila hiana akaiwasilisha bila Aibu ccm chin ya sitta wakayachakachua mchana kweupe na ubabe je wataheshimu kura zetu za maoni chin ya kibaraka NEC,TICC~CCM & POLICE CCM?
Le mutuz Nataman urudi ujibu haya maelezo ya mwanaCCM mwenzio kwa hoja.
Ukiweza kujibu kwa umakin hasa suala kubadil dini mimi ntatangaza rasmi kurudisha kadi ya CDM.
Viongoz wa Chadema Muleba nzima ni mizingo. HAMNA harakat zozote za chama zinazofanyika huko kwetu chin ya hawa jamaa.
As if hamna Uongoz kabisa. Yan nakereka sana jaman
Six nae kachemka kwel.
Ni bunge la Jm tu ndo lenye uwezo wa kubadil sheria ya theruthi mbil na sio yeye.
Maskin sitta nae ndo Bmk lishamuua kisiasa maana nae kashakuwa Fisadi wa maoni ya wananchi
Nawashaur Ccm kwa vile hawatak serikal 3 ambazo ndo maon ya wenye nchi .waende ZANZIBAR wafute ile katiba yao ili turudi kama mwanzo ambapo tulikuwa na Nchi moja yaan TANZANIA na serikal mbili, yaan serikal ya JMT na SMZ na hamna kitu kinachoitwa Tanganyika wala Zanzibar.(hayo ndo maboresho ya...
Manajamvi
kivuko cha kamanga kinachounganisha mwanza na sengerema kinatoza nauli kubwa ya 1000/= kwa kila abiria japo huduma zake ni mbovu sana.
Kijengo cha abiria ni kidogo na chakavu,hakina viti watu wanasimama kwenye kivuri cha mit wakisubir kivuko,vyoo ni vichafu mno japo tunalipia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.