Habari wana jamvi.
Kwanza niwatakie maandalizi mema ya 25. Dec.
Kama mada ya hapo juu inavyosomeka naleta kwenu ombi nifafanuliwe muda unaokubalika kisheria chaguzi ndogo kufanyika baada ya Mbunge au Diwani kufariki au kukosekana kwa muwakilishi huyo katika nafasi yake.
Kuna misemo/nahau za kiswahili nahisi hazina nafasi tena. Hii inatokana na uhalisia wa kizazi na maisha ya sasa. Mfano alie juu mngoje chini/haraka haraka haina baraka, kwa kizazi cha sasa sidhani, mtaka cha uvunguni...... Nao sijui kama Luna kizazi cha kuinama Bali in kuinua kitanda fast a tu...
Ikiwa tunaelekea kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka, ndugu zangu nawasihi tujiandae pia kukabiliana na majanga ambayo mara nyingi hutokea siku kama hizo ikiwemo ajali za barabarani, kumbi za starehe, kupotea kwa watoto ili furaha isijegeuka misiba.
Wana jamvi tumebakisha Sikh kadhaa kuuaga mwaka 2016. Ikiwa una jambo la firaha au huzuni lililokufika 2016 tuwekee hapa. Liwe la kwako binafsi.
1).05/04/2016 nimepata mtoto wa pili wa kuime hadi sasa anaendelea vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.