Kaka tapeli hawezi kuweka namba za simu, kwa uwa hapo ulipo hata jina langu unaweza kulipata, jifanye unaaka kutuma airtel money, lazima itakwambia unatuma fedha kwa nani! Sijui kama unalifahamu hili. Ila nyie mnaolazimisha bei lazima ni madalali, siku hizi ukijiunga unaongea mpaka basi. Basi...
Kaka kwa maeneo hayo uliyoyataja, sijui kama utapata. Mimi ninacho, Tsh m. 18 mita 25 kwa 45, roughly, kama unaweza nipigie 087001207. Kipo Mbezi kwa Yusufu eneo la Michungwani Kina la ulichosema umeme, barabara etc
Seriously nakiuza, bei utaambiwa ukikiona mwenyewe. Sitaki watu waogope kumbe kiwanja kizuri sana, na sitaki watu wapapatike kumbe si kionjo chao, atakae kitaka seriously, nitamuonyesha na tuongeee bei
Wandugu, kama kuna mtu anahitaji kiwanja, kipo Mbezi kwa Yusufu, eneo la Michungwani, kama dakika kumi kwa gari. Kama unahitaji au una jamaa anahitaji, basi piga 0787001207. Serious buyers tu wapige. Hakina dalali. Ukubwa m 25x40. Umeme upo nguzo ipo mpakani mwa kiwanja na barabara. Bei maelewano.
Nani akafunge, alikataka mwenyewe! Kwanza kanaweza kupimwa kajakazito, na unajua wanawake wakiwa wajawazito na mwaka mmoja baada ya kujifungua, kwa kitaalamu huwa wanahesabika wenda wazimu. RIP Kanumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.