Mkude ni shabiki wa Yanga lia lia na ndoto zake siku zote ilikuwa ni kuchezea timu yake pendwa ya Yanga kama ilivyo kuwa kwa Athumani China ambae ndoto yake ilikuwa ni kuchezea timu yake pendwa( Simba) ingawa alifanya vizuri sana na Yanga kwa muda mrefu au kama.ilivyo kuwa kwa Mohamed Mwameja...
Mimi nilicomment nikasema.huwa naona mwanamke mwenye kufanana na bikira Maria una comment kwa emoji ya mshangao, Why? Then ukauliza sura ya bikira Maria nimeiona wapi nikakujibu ile ya kubuni ya kanisa katoliki then una comment kwa emoji ya masikitiko. Maana ake nini hiyo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.