Habari wana JF, nimejichanga na kufikisha kiasi cha fedha tajwa hapo juu. Naishi Mwanza mwenye kuuza hilo gari tuwasiliane kwa simu no 0767932386. Popote litakapo patikana ndani ya nchi kwa bajeti hiyo tutafanya biashara.
Namshukuru mwenyezi mungu kwa kumjalia mke wangu kujifungua salama na kunizalia mtoto wa kike, hii ni furaha ya ajabu kwani huyu ni mwanangu wa kwanza na ni baraka kutoka kwa mungu! asante sana mungu pia pongezi sana kwa mke wangu kipenzi.
Habari wa dau,
Naomba wataalamu mnijuze chanzo cha kizunguzungu cha mara kwa mara kwa mama mjamzito, mke wangu anasumbuliwa mara kwa mara na hali hii, ana ujauzito wa miezi takribani sita unakimbilia wa 7.
Mwenye kujua chanzo na tiba ya maradhi haya anijuze.
Nashukuru na mungu awabariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.