Kwani hapa tunazungumza udini? Kwahiyo awamu zingine wachungaji hawakuwepo? Udhaifu mwingine Ni hatari kabisa kwa afya ya taifa. Walemavu wangapi wa ngozi wameuawa tangu aingie nadarakani?Ni Wachungaji wangapi wamekamatwa Na kupewa malipo Yao ya haki tangu kipindi hicho. Au naye aliingia...
Tulia watoto watumike. Nyie wazazi mmetumika hadi kupoteza mvuto, ngoja wawatumie hao wapya. Leo hujasikia majibu ya papo kwa papo ya Waziri Mkuu? Kwamba matumizi ya watoto ni utaratibu wa kawaida wa chama na hawataacha. Tulia baba, si nasikia wamewaachia Tshirt na viatu na kofia? Huoni kama ni...
Kwa jinsi ulivyojaza kamasi kwenye hilo fuvu lako unaona ni sahihi watoto wa umri huo kutumikishwa na wazazi wao kupokea ujira? Ajira ya watoto inayopigwa vita kimataifa ni ipi? Na wewe unakitetea chama ili upate ukuu wa wilaya au katibu tarafa? Pathetic thinking.....
Akili ya maamuzi kweli imekwisha, lakini kinachonifikirisha mimi ni uchaguzi wa maeneo ya kuanzia. Angalia walikoanzia: Mtwara, Njombe? Hapo tayari kura za uchaguzi mkuu wa Oktoba tayari zimeshapigwa... Subirini sasa tuone.....
Mabalozi wa amani kivipi? Unajua maana ya hiyo alama ya jembe na nyundo? Nyundo sasa hivi ndo inafanya kazi yake vizuri - Kuponda vichwa vya wapinzani, Waandishi, magazeti na kuupondaponda uchumi wa nchi na kisha kuchimba kaburi kwa jembe. Na amani unayoisema, sasa hivi na yenyewe...
Mkuu Hongera Sana kwa umakini huo. Nilidhani nimesikia vibaya. Na kweli hakukosea Na Kama hakukusudia basi Ni Roho wa Mungu ameutelezesha ulimi wake Ili kilichoko moyoni mwake kitoke.
Hii ni hatari Sana. Wao wanadhani wanawatisha wapinzani. Hivi siku ukawa au CUF Na CHADEMA wakifanya hivyo hali itakuwaje? Kwanza hawa watoto wana umri gani. Ccm wanasajili wanachama wa umri gan!? Hao hata darasa la 7 hawajafika na serikali ilikataza siasa mashuleni......
Kamati ya maandalizi au ya maandazi? Miaka 38 uwanja mzunguko wake angalau ungekuwa na lami. Wakati mwingine mnajichora bila kujua. Watoto muwahurumie, mnawatesa bure tu.
Hata watoto wote wale Ni ccm? Aisee mko juu. Wanachama wa ccm wanajiunga wakiwa Na umri gani? Mnatisha Na hiyo stock ya minors. Jipeni matumaini kuwa Ni wenu......
Kweli wajinga ndo waliwao! Umethibitishaje kuwa anayoyasema January Ni ya kweli? Kwanini TTCL haikurudishwa mikononi kwa wananchi miaka 10 iliyopita au basi angalau mwaka jana? Kwanini 2015?
Miaka yote Ni matamko Tu hawana lolote hawa. Wamekamuliwa hadi wamezoea. Subiri Mei Mosi ifike uone watakavyojitoa ufahamu. Na safari hii badala ya tshirt Na kanga, wanaume watapigwa suti kali Na akina mama Ni vitenge wax 3 piece. Unadhani wataacha? Vuteni subra muone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.