Rais wangu Dr. Magufuli sasa unda timu maalum ili kupata ufumbuzi wa suala hili
Kati ya Mei na Julai mwaka huu kulitokea rapsha kati ya Waziri wa Kilimo, Katibu Mkuu Kilimo na Taasisi inayohusika na Udhibiti wa Matumizi ya Viuatilifu hapa nchini (pesticide management and control in Tanzania)...
Profesa Buchwe napenda kukupongeza kwa dhati kabisa kwa kuteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya wakurugenzi ya TIB.
Sina wasiwasi na weledi, utendaji wako na taaluma yako ndani ya nchi hii. Tanzania inajivunia kuwa na Profesa wa Chemistry ambaye amewahi kumsimamia (supervise) mwanafunzi wa PhD katika...
Wanajamvi,
Hili jambo limekaeje? Wewe ni mwanaume wa kabila ingine umeoa uchagani.
Ukweni unajulikana kama chasaka, watoto uliozaa na mkeo wa kichaga wanakuwa regarded kama watoto wa chasaka na huenda wanajulikana kama minivyasaka! Ukiangalia kwa jicho la ndani hili jambo linaweza kupunguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.