Tuna consider vitu vingi hata Diplomasia nzuri ya Kijeshi inaweza kuwa silaha.
Vietnam hawakuwa na silaha Kali Ila organization yao iliwafanya kushinda vita
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mkuu ni huyu kama hujaingilia maslahi yake ya ndani hakuoangii. Ni huyu Urusi alitusaidia kumwondoa Idd Amin wakati huo Mabeberu walikuwa upande wa Uganda. Kwanini tusimwone Mrusi rafiki yetu. Lakini pia karibu Afrika nzima iko upande wa Urusi sema wanashindwa kuchagua upande waziwazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.