Kwa mpendao sheria hii 'attachment' ndio sheria husika huko sauzi inayogusiwa na hii article.
Mwenye sheria za kwetu atuwekee tuchambue tujue njia za kuchukua iwapo mwananchi wakawaida hafanyiwi haki na maofisa watukutu ndani ya vyombo vya usalama! Tunaweza pia kuchambua mapungufu ya...
Bunge la wenzetu wasauzi wamepitisha 'Secrecy Bill' jana (angalia pdf attachment). Kelele zinaendelea itakuwa 'challenged' kwenye mahakama kuu ya katiba (Constitutional Court) (Chungulia hapa: Secrecy Bill: Black Tuesday 'not the end of the road' - News - Mail & Guardian Online.
Kwenye...
"State intelligence agencies can -- and do -- access citizens' private communications illegally".
Read this article that is in the public domain in SA:
Secret state: How the government spies on you - Investigations - Mail & Guardian Online
Umenena vyema. Walio kwenye taaluma fuateni mifano kama hii paper kutoka Korea ya 2010: 'Anti-HIV-1 efficacy of extracts of medicinal plants':
Bofya hapa: SpringerLink - The Journal of Microbiology, Volume 48, Number 2.
2007 Maputo, Mozambique
"The arms depot was constructed by the Soviet Union in 1984. The building housed Soviet-manufactured weapons used during the Mozambican Civil War. The building is in a residential neighborhood, near the international airport. An earlier explosion at the same...
2008 Chelopechene, Sofia, Bulgaria:
"The 2008 Chelopechene explosions were a series of explosions that began early on Thursday morning 3 July 2008 at around 6:30 am local time at a munitions depot in the suburb of Chelopechene, 10 kilometres east of the centre of the Bulgarian capital, Sofia...
"The 2008 Gërdec explosions occurred at approximately noon local time on Saturday 15 March 2008 at an ex-military ammunition depot in the village of Gërdec in the Vorë Municipality, Albania (14 kilometers from Tirana). The explosions could be heard in the Macedonian capital of Skopje, 170 km...
Makatibu wakuu wa wizara wapo (Civil servants wanaendelea na kazi kama kawaida kwenye wizara zenye wakurugenzi, makamishna katika idara zake). In fact, kwa katiba iliyopo, Rais anaweza kuendelea na kazi bila mawaziri ' indefinitely'. Msemaji mkuu wa serikali bungeni yupo, ambaye ni Waziri Mkuu...
Hivi ni kwa sababu gani hivi viapo vina hii sentesi: "Ewe Mwenyezi Mungu Nisaidie". Hiki kipengele ndio kinasababisha watu kushika vitabu vya dini kama biblia au kurani wakati wa kuapa. Katiba ya nchi imetoa uhuru wa kuabudu au kutoabudu (Uwe muislamu, mkristo, mhindi, myahudi, au mpagani una...
" It isn't just the Gestapo maniacs, or KGB maniacs, who do inhuman things to other people.
It's PEOPLE who do inhuman things to other people...
We create a CIA, a secret police, with a vast budget, and let them go and run these programs in our name. We pretend like we don't know what's...
Bona Mugabe Rape Story Stirs A Hornet's Nest
Shout-Africa News – The publication of an exclusive story "Bona Mugabe Raped by Tanzanian Students," written by The African Aristocrat, and replicated by several international news-sites, has stirred up a hornet's nest, with The Straits Times...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.