Search results

  1. I

    Uamuzi mdogo kuhusu kesi ya Lissu na Gazeti la Mawio Waahirishwa

    Rulling ni kwa ajili ya suala la Zanzibar na Uchaguzi wake liendelee kujadiliwa au la. Likiruhusiwa ndio hearing inaendelea. Majibizano hayakuwepo
  2. I

    UKAWA watia shaka pesa za ununuzi wa UDA, wapiga kura kuzikataa

    Hivi wewe ulisema wa wapi eti?
  3. I

    Fasta fasta kutikisa usafiri Dar

    Tamasha Fastafasta kugutusha wasafiri Kampuni ya Purple cow media Ltd ya nchini Tanzania imetangaza rasmi kuzindua kwa tamasha kubwa Jijini Dar es salaam lililopewa Jina la pamoja Carnival litakalofanyika katika viwanja vya Leaders Club Kinondoni. Tamasha hilo lina lengo la kuwaleta watu...
  4. I

    Madalali wa NHC wavamia ofisi ya gazeti la Tanzania Daima

    Taarifa nilizopata, zinasema kuwa jengo hilo Mbowe anamiliki 75% na NHC 25% ila wamekuwa wakikataa mkataba ambao ni wa siku nyingi hivyo kukawa na kutokuelewana katika malipo ya kodi ya pango, pia kuna taarifa zinasema walipotaka kujenga jendo la kisasa katika eneo hilo serikali ikasema haiwezi...
  5. I

    Ndimara awindwa ajisalimisha polisi

    Mwandishi mkongwe nchini Ndimara Tegambwage akiwa anatoka ktk shughuli zake amefuatiliwa na watu wasiojulikana kwa namna isiyo ya kawaida akalazimika kugeuza na kujisalimisha kituo cha polisi wazo Hill, ndipo polisi wenye silaha wakamsaidia kufika kwake
  6. I

    Wahariri Tanzania wafunga ndoa na mafisadi

    TUHUMA DHIDI YA WAHARIRI ZAWEZA KUWA ZA KWELI AU SIO ZA KWELI LAKINI MTOA UZI ANGEANDIKA NDOA ILIYOFUNGWA, IMEFUNGWA WAPI NA MAFISADI HUSIKA ILI WATANZANIA WAANZE KUPIMA KWA KUANGALIA AINA YA UANDISHI WA HABARI ZINAZOANDIKWA ZIKIWA NA UHUSIANO NA MAFISADI
  7. I

    Hii kauli ya NEC ilimaanisha nini? Dec 28, 2015

    Ninajaribu kuhoji kama inafaa kuitishwa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kijitoupele kama tume inavyosisitiza lakini naegemea kwenye tamko lao. Je kauli yao ya sasa na ile ya zamani ipi ni ya uwongo?
  8. I

    Mbunge wa Ubungo, Mhe. Kubenea akamatwa kwa amri ya DC Makonda

    Kulikuwa na Mgomo kwenye kiwanda cha nguo cha TOOKU kilichopo EPZA, Mabibo, Mbunge wa Ubungo alifika kusuluhisha suala hilo leo saa 6 Mchana. Alijitahidi kukutana na menejimenti na viongozi wa hapo wakafanya kikao, walipofikia muafaka saa 9, DC Makonda aliingia eneo hilo akapewa briefings...
  9. I

    Notisi ya kuanzisha Mikoa na Wilaya

    Buhigwe(Kigoma), Butiama(Mara), Chemba(Dodoma), Ikungi(Singida), Itimila (Simiyu), Kakonko(Kigoma), Kaliua(Tabora), Mbogwe(Geita), Mkalama (Singida), Mlele(Katavi),Momba(Mbeya), Nyang’hwale(Geita), Nyasa(Ruvuma), Uvinza(Kigoma) na Wanging’ombe(Njombe).
  10. I

    Lowassa kuongea na Wananchi 14/05/2015 kupitia Clouds FM

    KWA HISANI YA GAZETI LA MUHIMILI TULIPATA MASWALI HAYA- TUNAYAWEKA HAPA KAMA AKIPATA NAFASI AYAJIBU 1. Kupitia ukurasa huu wa “KIZIMBA CHA MUHIMILI” tunataka Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa apande kwenye kizimba hiki ilia je atujibu maswali haya kabla ya kutuomba kura za kuwa raisi wetu...
  11. I

    Helikopta 1, magari 11 hadi mbwa 2 safari ya kupambana na ujangili

    Helikopta,Magari 11 hadi mbwa wawili. Mwaka 2014, Rais Kikwete alipokea magari 11 kutoka Mkurugenzi wa Frankfurt Zoological Society (FZS) kanda ya Afrika, Robert Muir. Watanzania waliambiwa kuwa magari hayo 11 ni kwa ajili ya kupambana na ujangili. Hafla ya kukabidhiwa hicho...
  12. I

    Kwa CHADEMA haramu, kwa CCM halali

    Jana, Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimemtimua uanachama wake, muasisi wa chama hicho na Muungano, Mzee Hassan Nassoro Moyo kwa tuhuma za kukisaliti chama hicho kwa kukiuka maadili na kutoa matamshi yasiyokubalika na sera za chama chao. Ni Majuzi tu, CCM walikuwa wanasema Zitto anaonewa...
  13. I

    ITV haikuonyesha mkutano wa Zitto Mwanza yaonyesha wa Mnyika Musoma

    Mkutano ulioonyeshwa ITV ni Mkutano aliofanya John Mnyika Mwanza jana, Mtangazaji wa ITV Mwanza aliyeripoti anaitwa Mabere Makubi, Mkutano wa Musoma haujaonyeshwa bado na mtangazaji wa kule anayefahamika hata ukienda vijijini anaitwa George Maratu, Tuache kufanya upotoshaji kwenye mitandao...
  14. I

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Licha ya baadhi vyombo vya habari na wana CCM kutangaza kuwa Tundu Lissu anapumulia mashine katika siasa za Singida Mashariki, matokeo ni kama ifuatavyo, Jimbo lina vijiji 50, Uchaguzi umefanyika katika vijiji 43, kwa sababu vijiji 7 uchaguzi umesimamishwa kwa amri ya mahakama, baada ya Lissu...
  15. I

    Yatatimia: Nilimshauri Kikwete, serikali na CCM nikapuuzwa

    KWA mara ya kwanza, makala hii ilichapishwa katika gazeti la Tanzania Daima Jumatano tarehe 21, Oktoba 2009. Ninairudia tena 07/04/2010 kulingana na mahitaji ya wakati huu kunapotokea mtafaruku mkubwa kuhusu BAHAKITA na serikali la Mahakama ya Kadhi. Nilipoandika mara ya kwanza, wafuasi wa CCM...
  16. I

    CCM na UKAWA Walimwa Barua

    Kwa sababu inaonekana kuna tatizo la Mtandao, kwa faida ya swali lako naomba kuiweka stori hii ilivyo: CCM, Ukawa walimwa barua CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vitatu vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi vimetumiwa ujumbe mzito wa barua kutoka kwa Wanataaluma wa Kikristo Tanzania (CPT)...
  17. I

    Maswali muhimu yajibiwe kwa hoja sio propaganda

    -------aminangalo---------
  18. I

    Maswali muhimu yajibiwe kwa hoja sio propaganda

    Swali kuu ambalo sisi tuliozaliwa ndani ya Muungano tunataka lijibiwe kwa ukweli kabisa ni ‘waasisi’ hawa wengine wa Muungano, akina Abdallah Kassim Hanga, Abdulaziz Twala na Saleh Saadalla Akida kwa upande wa Zanzibar; na Oscar Kambona, Bhoke Munanka na Job Lusinde kwa upande wa Tanganyika...
  19. I

    CCM na taasisi zake, Wazee ni Nyerere na Karume tu, Warioba ni mtoto?

    Wanachama wa Chama cha Mapinduzi na Taasisi zake wanasema kumtukana Nyerere na Karume ni kama kutukana Wazazi, mmoja wa wachangiaji amenukuu amri ya nne ya Mungu, inayosema "Waheshimu Baba na Mama upate miaka mingi na heri duniani". akaonya kuwa kuwatukana Nyerere na Karume hatupati heri kwani...
Back
Top Bottom