taasisi imara hujengwa na kusimamiwa na viongozi imara wasio wabinafsi. kiongozi ovyo hawezi simamia ujenzi na usimamizi wa taasisi makini. na taasisi makin zitakuwa makini zikiongozwa na watu wa ovyo? huwezi kwepa umuhimu wa watu wenye uwezo na wasio wabinafsi etc katka mafanikio ya taasis
mkuu, ibambasi. afrika tumeachiwa msala. waliotuletea uislamu wanawatumia waliotuletea ukristo kufanya mambo yao karibu yote huko kwao. waleta ukristo ndo wanaendesha karibu kila kitu uarabuni. ukafiri si hoja hapo na wala ugaidi wa waislam hauonekani. wanakuwa kitu kimoja
filikunjombe apewe nafasi tumwone. lembeli pia. mi nashangaa sana. mtu tumjuaye kwamba hafai wa nini? jaman nchi hii ina watu wengi sana. mbona tunazunguka humohumo tu?
ila dr. mwakyembe anaweza na jasiri jamani. ni aina ya rais tumtakaye. na sio mwizi. kama tunaitakia mema nchi hii awe rais au mfano wake awe rais. ni mtu aliye tayari kufia nchi yake. hana tamaa. hanunuliki. nani mfanowe?
Bado zitapigwa tu. Wenye pua ndefu wataona wenye pua fupi hawafai. Shombeshombe watajiona bora zaid ya weusi tii. Etc etc. WagenI wakitaka maliasili watatuchonganisha
SHWARI, hawa watu tusiungane nao, wataleta ututsi -hutu wao na matamaa ya madaraka na mavurugu. Ila tuwachunge hata ndani kwao wakianza kuuana tuwachape faster.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.