Mimi nashindwa kuelewa kwanini kodi tukatwe sie tu tunaolipwa senti mbili lakini wabunge, mawaziri na rais hawakatwi. What is so special about them wasikatwe kodi? Kwanini sie ndo tupigiwe kelele za kuwa wazalendo tulipe kodi wakati wao they get everything for free? Hiyo haki sawa kwa wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.